top of page
Darsa Na Mihadhara
Home
Kuhusu Sisi
Vitabu
Mwongozo wa kujiandaa na ibada ya Umrah
Aina za watu wanaokwenda kutekeleza Ibada ya Umrah
Fadhila za siku kumi za Dhul Hijjah
Itikadi Ya Maimamu Wane
Videos
Makala
Mafundisho
Aqidah
Qur'aan
Fiqh
Sira
Khutbah
Contact
About
More
Use tab to navigate through the menu items.
Log In
Darsa
na Mihadhara Online
ٱقْرَأْ بِٱسْمِ رَبِّكَ ٱلَّذِى خَلَقَ
Soma kwa ajili ya Mola wako aliyeumba
Al-Alaq 91;1
Darsa na Mihadhara
Play Video
Play Video
01:17:56
Darsa حديث جبريل عليه السلام 🔴 LIVE Darsa (II) فضائل لا إله إلا الله
Darsa ilifanyika Muharramu 0917, 1447H Ijumaa Julai 04, 2025 فضائل لا إله إلا الله من القرآن العظيم Fadhila za لا إله إلا الله kutoka kwenye Qur aani Adhimu SEHEMU YA PILI Tamko la لا إله إلا الله -hapana ilahi Apaswae kuabudiwa kwa HAKI isipokuwa Allah- ni kukiri kwamba Allah (Yeye Pekee Ndiye) anayestahiki kuabudiwa kwa HAKI Tamko hili la لا إله إلا الله -hapana ilahi Apaswae kuabudiwa kwa HAKI isipokuwa Allah ndio tamko pekee linalookoa kutokana na Moto na adhabu ya Siku ya Qiyaamah kwa kila mwenye kulitamka kwa ikhlasi. Hivyo basi mwenya kufanya yale yenye kuelekezwa -kuashiriwa- na tamko hili la لا إله إلا الله -hapana ilahi Apaswae kuabudiwa kwa haki isipokuwa Allah- atapata furaha duniani na Akhera. Tamko hili la لا إله إلا الله -hapana ilahi Apaswae kuabudiwa kwa haki isipokuwa Allah- lina fadhila adhimu na nyingi ambazo haziwezi kuhesabiwa. Kuna Aayah nyingi ambazo zinataja uadhimu na fadhila za tamko hili la لا إله إلا الله -hapana ilahi Apaswae kuabudiwa kwa HAKI isipokuwa Allah Pekee.
Play Video
Play Video
01:10:11
Darsa كِتابُ الْمُقَدِّمات 🔴 LIVE(I) باب تغليظ عقوبة من أمر بمعروف أَوْ نهى عن منكر وخالف قوله فعله
Darsa ilifanyika Muharramu 07, 1447 H Jumatano Julai 02, 2025 باب تغليظ عقوبة من أمر بمعروف أَوْ نهى عن منكر وخالف قوله فعله Mlango wa Adhabu kali kwa mwenye kuamrisha mema au kukataza munkari kisha kauli yake ikahalifu matendo yake قَالَ الله تَعَالَى أَتَأْمُرُونَ النَّاسَ بِالْبِرِّ وَتَنسَوْنَ أَنفُسَكُمْ وَأَنتُمْ تَتْلُونَ الْكِتَابَ ۚ أَفَلَا تَعْقِلُونَ ﴿٤٤ "Je, mnaamrisha watu watende mema na mnajisahu nafsi zenu na hali ya kuwa nyinyi mnasoma Kitabu; je hamtii akilini?" Al-Baqarah 2: 44. يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا لِمَ تَقُولُونَ مَا لَا تَفْعَلُونَ﴿ ٢ "Enyi walioamini! Kwanini mnasema yale msiyoyafanya?" كَبُرَ مَقْتًا عِندَ اللَّـهِ أَن تَقُولُوا مَا لَا تَفْعَلُونَ﴿٣ "Ni chukizo kubwa mno mbele ya Allah kwamba mnasema yale msiyoyafanya." Asw- Swaff: 2-3 . وَمَا أُرِيدُ أَنْ أُخَالِفَكُمْ "Nami sitaki kukuhalifuni kufanya ninayokukatazeni… " Huud: 88.
Play Video
Play Video
01:05:09
Darsa ya Hadithi za Riyadhu كِتابُ الْمُقَدِّمات 🔴 LIVE (VII) باب الأمر بالمعروف والنهي عن المنكر
Darsa ilifanyika Muharramu 06, 1447 H Jumanne Julai 01, 2025 باب الأمر بالمعروف والنهي عن المنكر Mlango wa Kuamrisha Mema na Kukataza Munkari (maovu) قَالَ اللهُ تَعَالَى وَلْتَكُن مِّنكُمْ أُمَّةٌ يَدْعُونَ إِلَى الْخَيْرِ وَيَأْمُرُونَ بِالْمَعْرُوفِ وَيَنْهَوْنَ عَنِ الْمُنكَرِ ۚ وَأُولَـٰئِكَ هُمُ الْمُفلِحُونَ ﴿١٠٤ "Na watokeze kutoka kwenu umati wa watu wataolingania kwenye heri na wataoamrisha mema na wataokataza munkari; na hao ndio waliofaulu." Aal-Imraan 3:104. كُنتُمْ خَيْرَ أُمَّةٍ أُخْرِجَتْ لِلنَّاسِ تَأْمُرُونَ بِالْمَعْرُوفِ وَتَنْهَوْنَ عَنِ الْمُنكَرِ "Mmekuwa Ummah bora kabisa uliotolewa (mfano) kwa watu; mnaamrisha mema na mnakataza munkari…" Aal-Imraan 3:110. خُذِ الْعَفْوَ وَأْمُرْ بِالْعُرْفِ وَأَعْرِضْ عَنِ الْجَاهِلِينَ ﴿١٩٩ "Shikamana na usamehevu, na amrisha mema na jiepushe na majahili." Al-A’raaf: 199. وَالْمُؤْمِنُونَ وَالْمُؤْمِنَاتُ بَعْضُهُمْ أَوْلِيَاءُ بَعْضٍ ۚ يَأْمُرُونَ بِالْمَعْرُوفِ وَيَنْهَوْنَ عَنِ الْمُنكَرِ "Na Waumini wanaume na Waumini wanawake ni marafiki wandani wao kwa wao; wanaamrisha mema na wanakataza munkari…" At-Tawbah: 71. لُعِنَ الَّذِينَ كَفَرُوا مِن بَنِي إِسْرَائِيلَ عَلَىٰ لِسَانِ دَاوُودَ وَعِيسَى ابْنِ مَرْيَمَ ۚ ذَٰلِكَ بِمَا عَصَوا وَّكَانُوا يَعْتَدُونَ ﴿٧٨ "Wamelaaniwa wale waliokufuru miongoni mwa wana wa Israil kwa lisani ya (Nabii) Daud na Isa mwana wa Maryam; hivyo ni kwa sababu ya kuasi kwao na walikuwa wakipindukia mipaka."Al Maaidah 5:77. كَانُوا لَا يَتَنَاهَوْنَ عَن مُّنكَرٍ فَعَلُوهُ ۚ لَبِئْسَ مَا كَانُوا يَفْعَلُونَ ﴿ ٧٩ "Walikuwa hawakatazani munkari waliyofanya; uovu ulioje waliyokuwa wakiyafanya." Al- Maaidah 5: 79. وَقُلِ الْحَقُّ مِن رَّبِّكُمْ ۖ فَمَن شَاءَ فَلْيُؤْمِن وَمَن شَاءَ فَلْيَكْفُرْ ۚ "Na sema: “(Hii ni) Haki kutoka kwa Rabi wenu; basi anayetaka aamini, na anayetaka akufuru.” Al-Kahf: 29. فَاصْدَعْ بِمَا تُؤْمَرُ وَأَعْرِضْ عَنِ الْمُشْرِكِينَ﴿٩٤ "Basi tangaza wazi yale uliyoamrishwa na jitenge na washirikina." Al-Hijr: 94. فَلَمَّا نَسُوا مَا ذُكِّرُوا بِهِ أَنجَيْنَا الَّذِينَ يَنْهَوْنَ عَنِ السُّوءِ وَأَخَذْنَا الَّذِينَ ظَلَمُوا بِعَذَابٍ بَئِيسٍ بِمَا كَانُوا يَفْسُقُونَ ﴿١٦٥ "Waliposahau yale waliyokumbushwa nayo; Tuliwaokoa wale wanaokataza uovu, na Tukawachukua wale waliodhulumu kwa adhabu mbaya kabisa kwa yale waliyokuwa wakifanya ufasiki." Al-A’raaf: 165.
Play Video
Play Video
01:03:22
Darsa ya Hadithi za Riyadhu كِتابُ الْمُقَدِّمات 🔴 LIVE (VI) باب الأمر بالمعروف والنهي عن المنكر
Darsa ilifanyika Muharramu 05, 1447 H Jumatatu Juni 30, 2025 باب الأمر بالمعروف والنهي عن المنكر Mlango wa Kuamrisha Mema na Kukataza Munkari (maovu) قَالَ اللهُ تَعَالَى وَلْتَكُن مِّنكُمْ أُمَّةٌ يَدْعُونَ إِلَى الْخَيْرِ وَيَأْمُرُونَ بِالْمَعْرُوفِ وَيَنْهَوْنَ عَنِ الْمُنكَرِ ۚ وَأُولَـٰئِكَ هُمُ الْمُفلِحُونَ ﴿١٠٤ "Na watokeze kutoka kwenu umati wa watu wataolingania kwenye heri na wataoamrisha mema na wataokataza munkari; na hao ndio waliofaulu." Aal-Imraan 3:104. كُنتُمْ خَيْرَ أُمَّةٍ أُخْرِجَتْ لِلنَّاسِ تَأْمُرُونَ بِالْمَعْرُوفِ وَتَنْهَوْنَ عَنِ الْمُنكَرِ "Mmekuwa Ummah bora kabisa uliotolewa (mfano) kwa watu; mnaamrisha mema na mnakataza munkari…" Aal-Imraan 3:110. خُذِ الْعَفْوَ وَأْمُرْ بِالْعُرْفِ وَأَعْرِضْ عَنِ الْجَاهِلِينَ ﴿١٩٩ "Shikamana na usamehevu, na amrisha mema na jiepushe na majahili." Al-A’raaf: 199. وَالْمُؤْمِنُونَ وَالْمُؤْمِنَاتُ بَعْضُهُمْ أَوْلِيَاءُ بَعْضٍ ۚ يَأْمُرُونَ بِالْمَعْرُوفِ وَيَنْهَوْنَ عَنِ الْمُنكَرِ "Na Waumini wanaume na Waumini wanawake ni marafiki wandani wao kwa wao; wanaamrisha mema na wanakataza munkari…" At-Tawbah: 71. لُعِنَ الَّذِينَ كَفَرُوا مِن بَنِي إِسْرَائِيلَ عَلَىٰ لِسَانِ دَاوُودَ وَعِيسَى ابْنِ مَرْيَمَ ۚ ذَٰلِكَ بِمَا عَصَوا وَّكَانُوا يَعْتَدُونَ ﴿٧٨ "Wamelaaniwa wale waliokufuru miongoni mwa wana wa Israil kwa lisani ya (Nabii) Daud na Isa mwana wa Maryam; hivyo ni kwa sababu ya kuasi kwao na walikuwa wakipindukia mipaka."Al Maaidah 5:77. كَانُوا لَا يَتَنَاهَوْنَ عَن مُّنكَرٍ فَعَلُوهُ ۚ لَبِئْسَ مَا كَانُوا يَفْعَلُونَ ﴿ ٧٩ "Walikuwa hawakatazani munkari waliyofanya; uovu ulioje waliyokuwa wakiyafanya." Al- Maaidah 5: 79. وَقُلِ الْحَقُّ مِن رَّبِّكُمْ ۖ فَمَن شَاءَ فَلْيُؤْمِن وَمَن شَاءَ فَلْيَكْفُرْ ۚ "Na sema: “(Hii ni) Haki kutoka kwa Rabi wenu; basi anayetaka aamini, na anayetaka akufuru.” Al-Kahf: 29. فَاصْدَعْ بِمَا تُؤْمَرُ وَأَعْرِضْ عَنِ الْمُشْرِكِينَ﴿٩٤ "Basi tangaza wazi yale uliyoamrishwa na jitenge na washirikina." Al-Hijr: 94. فَلَمَّا نَسُوا مَا ذُكِّرُوا بِهِ أَنجَيْنَا الَّذِينَ يَنْهَوْنَ عَنِ السُّوءِ وَأَخَذْنَا الَّذِينَ ظَلَمُوا بِعَذَابٍ بَئِيسٍ بِمَا كَانُوا يَفْسُقُونَ ﴿١٦٥ "Waliposahau yale waliyokumbushwa nayo; Tuliwaokoa wale wanaokataza uovu, na Tukawachukua wale waliodhulumu kwa adhabu mbaya kabisa kwa yale waliyokuwa wakifanya ufasiki." Al-A’raaf: 165.
Play Video
Play Video
01:16:16
Darsa: Usuli Sunnah الخط التاريخي لظهور البدع 🔴 LIVE | Darsa رؤوس الضلال (VI)
Darsa ilifanyika Muharramu 04, 1447H Jumapili Juni 29, 2025 الفترة الثالثة : ١٠٠ - ١٥٠ه Kipindi cha mwaka 100H - 150H Wazushi wanne: أربعة أشخاص من المبتدعة واصل بن عطاء (١٣١ه) الجعد بن درهم (١٢٤ه) الجهم بن صفوان (١٢٨ه) مقاتل بن سليمان (١٥٠ه) بدع الجعد أول من قال بأن القرآن مخلوق أنكر تكليم الله سبحانه لموسى عليه السلام أنكر اتخاذ الله إبراهيم خليلاً أول من قال بأن الله سبحانه ليس على العرش حقيقة أول من قال بأن الله استوى بمعنى استولى بدع الجهم بن صفوان إنكار صفات الباري عز وجل أول من قال بالجبر القول بأن الإيمان هو المعرفة القول بفناء الجنة والنار القول بأن علم الله حادث : بدع مقاتل بن سليمان بالغ في إثبات صفات الله حتى شبَْه
Play Video
Play Video
01:36:04
Darsa: محرّم و نبي الله موسى: كشف أسرار الصبر، التوكّل و النصر 🔴 LIVE | Ust Kassa
Darsa ilifanyika Muharramu 04, 1447H Jumapili Juni 29, 2025 محرّم و نبي الله موسى: كشف أسرار الصبر، التوكّل و النصر Muharramu na Nabii wa Allah Musa (Swallallahu 'alayhi wa sallama): SIRI NA NGUVU YA SUBRA, TAWAKKUL NANUSRA YA ALLAH
Play Video
Play Video
01:02:27
Mhadhara: Fadhila za Mwezi wa Muharramu فضائل شهر محرَّم 🔴 LIVE | Ust Salim Khatib
Mhadhara ulifanyika Muharramu 01, 1447H Alhamisi Juni 26, 2025 Fadhila za Mwezi wa Muharram فضائل شهر محرَّم Allah Anasema: إِنَّ عِدَّةَ الشُّهُورِ عِندَ اللَّـهِ اثْنَا عَشَرَ شَهْرًا فِي كِتَابِ اللَّـهِ يَوْمَ خَلَقَ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضَ مِنْهَا أَرْبَعَةٌ حُرُمٌ ۚ ذَٰلِكَ الدِّينُ الْقَيِّمُ ۚ فَلَا تَظْلِمُوا فِيهِنَّ أَنفُسَكُمْ ۚ وَقَاتِلُوا الْمُشْرِكِينَ كَافَّةً كَمَا يُقَاتِلُونَكُمْ كَافَّةً ۚ وَاعْلَمُوا أَنَّ اللَّـهَ مَعَ الْمُتَّقِينَ﴿٣٦ "Hakika idadi ya miezi mbele ya Allah ni kumi na mbili (12) katika hukmu ya makadirio ya Allah, (tangu) siku Aliyoumba mbingu na ardhi.; kati ya hiyo, (iko miezi) minne mitukufu; hiyo ndiyo Dini iliyonyoofu; basi msijidhulumu humo nafsi zenu (kwa kufanya maasi), na piganeni vita na washirikina wote kama wao wanavyokupigeni vita nyote; na eleweni kwamba Allah Yu Pamoja na Muttaqina". At-Tawbah 9:36. Nabii صلى الله عليه وسلم amesema: عن أبي بَكْرَةَ رضي الله عنه عَنْ النَّبِيِّ صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ أنه قَالَ: إن الزَّمَانَ قَدْ اسْتَدَارَ كَهَيْئَتِهِ يَوْمَ خَلَقَ اللَّهُ السَّمَوَاتِ وَالأَرْضَ السَّنَةُ اثْنَا عَشَرَ شَهْرًا مِنْهَا أَرْبَعَةٌ حُرُمٌ ثَلاثٌ مُتَوَالِيَاتٌ ذُو الْقَعْدَةِ وَذُو الْحِجَّةِ وَالْمُحَرَّمُ وَرَجَبُ مُضَرَ الَّذِي بَيْنَ جُمَادَى وَشَعْبَانَ Imepokelewa kutoka kwa Abu Bakrah (Allah Awe Radhi Nae) kwamba Nabii صلى الله عليه وسلم amesema: "Hakika mzunguko wa zama umerudi katika hali yake ya asili siku Allah Alipoumba mbingu na ardhi; mwaka una miezi kumi na mbili; minne miongoni ya hiyo ni mitukufu, mitatu inafuatana pamoja; Dhul Qa'dah, na Dhul Hijjah na Al Muharram, mwengine ni Rajab wa (kabila la) Mudharr ambao uko baina ya Jumadaa na Shabani" Wamewafikiana Bukhari na Muslim. https://youtu.be/fPUSHVfckc4?si=U1Bo7o2w6V_22ooe https://youtu.be/HDtKZO2UdT4?si=Y6YERRodkCA6tov https://youtu.be/lUYbiN50C54?si=TT1Qj-mz3oa8shaD https://youtu.be/O7b8aqNBRnI?si=8ddqPKOc33udaIm2 Hapa kuna baadhi ya link kwa lugha ya Kiarabu: https://youtu.be/-5_Lawcs5Go?si=dsqAQemYVnxtXio0 https://youtu.be/mtXAeSbyrns?si=aJy0xo4eLuQrbZn3 https://youtu.be/TAPGYB5Sa9A?si=j56HOTRrQV6yxPvX https://youtu.be/Cn6uRt8zo-4?si=BtC7YndK-m893yY8
Play Video
Play Video
01:08:26
Darsa ya Hadithi za Riyadhu كِتابُ الْمُقَدِّمات 🔴 LIVE (V) باب الأمر بالمعروف والنهي عن المنكر
Darsa ilifanyika Dhul Hijjah 29, 1446 H Jumatano Juni 25, 2025 باب الأمر بالمعروف والنهي عن المنكر Mlango wa Kuamrisha Mema na Kukataza Munkari (maovu) قَالَ اللهُ تَعَالَى وَلْتَكُن مِّنكُمْ أُمَّةٌ يَدْعُونَ إِلَى الْخَيْرِ وَيَأْمُرُونَ بِالْمَعْرُوفِ وَيَنْهَوْنَ عَنِ الْمُنكَرِ ۚ وَأُولَـٰئِكَ هُمُ الْمُفلِحُونَ ﴿١٠٤ "Na watokeze kutoka kwenu umati wa watu wataolingania kwenye heri na wataoamrisha mema na wataokataza munkari; na hao ndio waliofaulu." Aal-Imraan 3:104. كُنتُمْ خَيْرَ أُمَّةٍ أُخْرِجَتْ لِلنَّاسِ تَأْمُرُونَ بِالْمَعْرُوفِ وَتَنْهَوْنَ عَنِ الْمُنكَرِ "Mmekuwa Ummah bora kabisa uliotolewa (mfano) kwa watu; mnaamrisha mema na mnakataza munkari…" Aal-Imraan 3:110. خُذِ الْعَفْوَ وَأْمُرْ بِالْعُرْفِ وَأَعْرِضْ عَنِ الْجَاهِلِينَ ﴿١٩٩ "Shikamana na usamehevu, na amrisha mema na jiepushe na majahili." Al-A’raaf: 199. وَالْمُؤْمِنُونَ وَالْمُؤْمِنَاتُ بَعْضُهُمْ أَوْلِيَاءُ بَعْضٍ ۚ يَأْمُرُونَ بِالْمَعْرُوفِ وَيَنْهَوْنَ عَنِ الْمُنكَرِ "Na Waumini wanaume na Waumini wanawake ni marafiki wandani wao kwa wao; wanaamrisha mema na wanakataza munkari…" At-Tawbah: 71. لُعِنَ الَّذِينَ كَفَرُوا مِن بَنِي إِسْرَائِيلَ عَلَىٰ لِسَانِ دَاوُودَ وَعِيسَى ابْنِ مَرْيَمَ ۚ ذَٰلِكَ بِمَا عَصَوا وَّكَانُوا يَعْتَدُونَ ﴿٧٨ "Wamelaaniwa wale waliokufuru miongoni mwa wana wa Israil kwa lisani ya (Nabii) Daud na Isa mwana wa Maryam; hivyo ni kwa sababu ya kuasi kwao na walikuwa wakipindukia mipaka."Al Maaidah 5:77. كَانُوا لَا يَتَنَاهَوْنَ عَن مُّنكَرٍ فَعَلُوهُ ۚ لَبِئْسَ مَا كَانُوا يَفْعَلُونَ ﴿ ٧٩ "Walikuwa hawakatazani munkari waliyofanya; uovu ulioje waliyokuwa wakiyafanya." Al- Maaidah 5: 79. وَقُلِ الْحَقُّ مِن رَّبِّكُمْ ۖ فَمَن شَاءَ فَلْيُؤْمِن وَمَن شَاءَ فَلْيَكْفُرْ ۚ "Na sema: “(Hii ni) Haki kutoka kwa Rabi wenu; basi anayetaka aamini, na anayetaka akufuru.” Al-Kahf: 29. فَاصْدَعْ بِمَا تُؤْمَرُ وَأَعْرِضْ عَنِ الْمُشْرِكِينَ﴿٩٤ "Basi tangaza wazi yale uliyoamrishwa na jitenge na washirikina." Al-Hijr: 94. فَلَمَّا نَسُوا مَا ذُكِّرُوا بِهِ أَنجَيْنَا الَّذِينَ يَنْهَوْنَ عَنِ السُّوءِ وَأَخَذْنَا الَّذِينَ ظَلَمُوا بِعَذَابٍ بَئِيسٍ بِمَا كَانُوا يَفْسُقُونَ ﴿١٦٥ "Waliposahau yale waliyokumbushwa nayo; Tuliwaokoa wale wanaokataza uovu, na Tukawachukua wale waliodhulumu kwa adhabu mbaya kabisa kwa yale waliyokuwa wakifanya ufasiki." Al-A’raaf: 165.
Contact
bottom of page