top of page
Darsa Na Mihadhara
Home
Kuhusu Sisi
Vitabu
Mwongozo wa kujiandaa na ibada ya Umrah
Utangulizi
Aina za watu wanaokwenda kutekeleza Ibada ya Umrah
Videos
Makala
Mafundisho
Aqidah
Qur'aan
Fiqh
Sira
Khutbah
Contact
More
Use tab to navigate through the menu items.
Log In
Darsa
na Mihadhara Online
ูฑููุฑูุฃู ุจููฑุณูู ู ุฑูุจูููู ูฑูููุฐูู ุฎููููู
Soma kwa ajili ya Mola wako aliyeumba
Al-Alaq 91;1
Darsa na Mihadhara
Play Video
Play Video
01:26:44
Darsa (3) ๐ด LIVE | Sharhu Usulu Sunnah Abu Farouq
Darsa ilifanyika Jumadal Uula 19, 1445H Jumapili Disema 03, 2023 Kitabu miongoni mwa vitabu vya Ahlus Sunnah ููุชูุงุจู ู ููู ููุชูุจู ุนูููู ูุงุกู ุฃููููู ุงูุณูููููุฉู ููุงูุฌูู ูุงุนูุฉู Kitabu cha Usulus Sunnah cha imamu wa Sunnah imamu Ahmad bin Hanbal (Allah Amrehemu) ุฃุตูู ุงูุณูุฉ ููุฅู ุงู ุฃุญู ุฏ Sharhu Usulu Sunnah ุดุฑุญ ุฃูุตูููู ุงูุณูููููุฉู Cha Sh. Rabi' Al Mad-khali (Allah Amrehemu) ููุนูุงู ุฉ ุงูู ุญุฏุซ ุฑุจูุน ุจู ูุงุฏู ุจู ู ุญู ุฏ ุนู ูุฑ ุงูู ุฏุฎูู ููู ูู ุฃูุตูููู ุงูุณูููููุฉู: ุชุฑู ุงูุจุฏุนุููู ุจุฏุนุฉ ููู ุถูุงูุฉ Na katika Usuli: Kuacha bidaa; na kila bidaa ni upotevu
Play Video
Play Video
43:02
Darsa (19) ๐ด LIVE | Darsa ya Wiki Abu Farouq
Darsa ilifanyika Jumadal Uula 17, 1445H Ijumaa Disemba01, 2023 DARSA YA KUMI NA TISA "Amekujieni kuwafundisha Dini yenu.โ "โ ุฃูุชูุงููู ู ููุนููููู ูููู ู ุฏููููููู ู โ" Nani wanaoelekezewa maneno haya?! Swahaba (Allah Awe Radhi Nao Jamia) Halifa wa PILI: SEHEMU YA TATU Al Farouq Umar (Allah Awe Radhi Nae) Umar (Allah Awe Radhi Nae) halifa wa Rasuli wa Allah ๏ทบ Yaliyotokea wakati wa uhalifa wake
Play Video
Play Video
40:01
๐ด LIVE | Darsa ya Mirathi (MARUDIO 13) Dr. Ibrahim Bulushi Kamisheni ya Wakfu Kenya.
Darsa ilifanyika Jumadal Uula 12, 1445H Jumapili Novemba 26, 2023 MAZOEZI MCHANGANYIKO YA DURUSU ZILIZOPITA
Play Video
Play Video
01:11:47
Darsa (2) ๐ด LIVE | Sharhu Usulu Sunnah Abu Farouq
Darsa ilifanyika Jumadal Uula 12, 1445H Jumapili Novemba 26, 2023 Kitabu miongoni mwa vitabu vya Ahlus Sunnah ููุชูุงุจู ู ููู ููุชูุจู ุนูููู ูุงุกู ุฃููููู ุงูุณูููููุฉู ููุงูุฌูู ูุงุนูุฉู Kitabu cha Usulus Sunnah cha imamu wa Sunnah imamu Ahmad bin Hanbal (Allah Amrehemu) ุฃุตูู ุงูุณูุฉ ููุฅู ุงู ุฃุญู ุฏ Sharhu Usulu Sunnah ุดุฑุญ ุฃูุตูููู ุงูุณูููููุฉู Cha Sh. Rabi' Al Mad-khali (Allah Amrehemu) ููุนูุงู ุฉ ุงูู ุญุฏุซ ุฑุจูุน ุจู ูุงุฏู ุจู ู ุญู ุฏ ุนู ูุฑ ุงูู ุฏุฎูู ุฃูุตูููู ุงูุณูููููุฉูุนูุฏูุง: ุงูุชููู ูุณูููู ุจูู ูุง ููุงูู ุนูููููู ุงูุตููุญูุงุจูุฉ ูุงูุงูููุชูุฏุงุกู ุจูููู ู Usuli wa Sunnah Kwetu ni: Kushikamana na yale waliyokuwa wameshikamana nayo Swahaba (Allah Awe Radhi Nao Jamia) wa Rasuli wa Allah ๏ทบ na kuwaiga.
Play Video
Play Video
47:46
Darsa (18) ๐ด LIVE | Darsa ya Wiki Abu Farouq.
Darsa ilifanyika Jumadal Uula 10, 1445H Ijumaa Novemba 24, 2023 DARSA YA KUMI NA NANE "Amekujieni kuwafundisha Dini yenu.โ "โ ุฃูุชูุงููู ู ููุนููููู ูููู ู ุฏููููููู ู โ" Nani wanaoelekezewa maneno haya?! Swahaba (Allah Awe Radhi Nao Jamia) Halifa wa PILI: SEHEMU YA PILI Al Farouq Umar (Allah Awe Radhi Nae) Umar (Allah Awe Radhi Nae) halifa wa Rasuli wa Allah ๏ทบ Kusilimu kwake (Allah Awe Radhi Nae) Kuitwa kwake Al Farouq (Allah Awe Radhi Nae) Kuhajiri kwake (Allah Awe Radhi Nae)
Play Video
Play Video
01:05:22
Darsa (1) ๐ด LIVE | Sharhu Usulu Sunnah Abu Farouq Kutoka Leicester, UK.
Darsa ilifanyika Jumadal Uula 05, 1445H Jumapili Novemba 19, 2023 Kitabu miongoni mwa vitabu vya Ahlus Sunnah ููุชูุงุจู ู ููู ููุชูุจู ุนูููู ูุงุกู ุฃููููู ุงูุณูููููุฉู ููุงูุฌูู ูุงุนูุฉู Kitabu cha Usulus Sunnah cha imamu wa Sunnah imamu Ahmad bin Hanbal (Allah Amrehemu) ุฃุตูู ุงูุณูุฉ ููุฅู ุงู ุฃุญู ุฏ Sharhu Usulu Sunnah ุดุฑุญ ุฃูุตูููู ุงูุณูููููุฉู Cha Sh. Rabi' Al Mad-khali (Allah Amrehemu) ููุนูุงู ุฉ ุงูู ุญุฏุซ ุฑุจูุน ุจู ูุงุฏู ุจู ู ุญู ุฏ ุนู ูุฑ ุงูู ุฏุฎูู UTANGULIZI ู ูุฏู ุฉ
Play Video
Play Video
57:37
Darsa (17) ๐ด LIVE | Darsa ya Wiki Abu Farouq
Darsa ilifanyika Jumadal Uula 03, 1445H Ijumaa Novemba 17, 2023 DARSA YA KUMI NA SABA "Amekujieni kuwafundisha Dini yenu.โ "โ ุฃูุชูุงููู ู ููุนููููู ูููู ู ุฏููููููู ู โ" Nani wanaoelekezewa maneno haya?! Swahaba (Allah Awe Radhi Nao Jamia) Halifa wa PILI: Al Farouq Umar (Allah Awe Radhi Nae) Umar (Allah Awe Radhi Nae) halifa wa Rasuli wa Allah ๏ทบ 'Sis' ni watu ambao Allah Ametutukuza kwa Uislamu, hivyo basi tutakapotafuta Utukufu kwa kupitia chengine chochote kile (kisichokuwa Uislamu), basi tutadhalilishwa au tutadhalilika.โ Jina laku: Umar bin Al-Khattab bin Nufayl bin Abdul-Uzi bin Rayah bin Abdullah bin Qartw bin Razah bin Adi bin Kaโb bin Luay Al-Qurashi Al-Adawi. Nasaba yake inakutana na ile ya Nabii ๏ทบ kwenye Kaโb bin Luay Umar (Allah Awe Radhi Nae) alizaliwa Makkah miaka kumi na tatu baada ya mwaka wa tembo (ndovu) na alikuwa miongoni mwa watu watukufu wa Quraish. Umar (Allah Awe Radhi Nae) alisilimu kadimu baada ya wanaume arubaini na wanawake kumi na moja, pia pamesemwa kuwa: baada ya wanaume thelathini na tisa na wanawake ishirini na watatu; pia pamesemwa kuwa: baada ya wanaume arobaini na tano na wanawake kumi na moja.
Play Video
Play Video
49:20
Darsa (16) ๐ด LIVE | Darsa ya Wiki Abu Farouq.
Darsa ilifanyika Rabiโth Thani 26, 1445H Ijumaa Novemba 10, 2023 DARSA YA KUMI NA SITA "Amekujieni kuwafundisha Dini yenu.โ "โ ุฃูุชูุงููู ู ููุนููููู ูููู ู ุฏููููููู ู โ" Nani wanaoelekezewa maneno haya?! Swahaba (Allah Awe Radhi Nao Jamia) Halifa wa Kwanza: Abu Bakr As Siddiq (Allah Awe Radhi Nae) Abu Bakri As Siddiq halifa wa Rasuli wa Allah ๏ทบ : SEHEMU YA TANO Mapokezi ya Abu Bakr As Siddiq (Allah Awe Radhi Nae) ู ุฑููุงุช ุงูุตุฏูู ุฑุถู ุงููู ุนูู
Contact
bottom of page