top of page
Darsa Na Mihadhara
Home
Kuhusu Sisi
Vitabu
Mwongozo wa kujiandaa na ibada ya Umrah
Aina za watu wanaokwenda kutekeleza Ibada ya Umrah
Fadhila za siku kumi za Dhul Hijjah
Itikadi Ya Maimamu Wane
Videos
Makala
Mafundisho
Aqidah
Qur'aan
Fiqh
Sira
Khutbah
Contact
About
More
Use tab to navigate through the menu items.
Log In
Darsa
na Mihadhara Online
ٱقْرَأْ بِٱسْمِ رَبِّكَ ٱلَّذِى خَلَقَ
Soma kwa ajili ya Mola wako aliyeumba
Al-Alaq 91;1
Darsa na Mihadhara
Play Video
Play Video
02:00:51
Darsa الأشهر الحرم 🔴 DARSA : فَلَا تَظْلِمُوا فِيهِنَّ أَنفُسَكُمْ Ust. Hassan
Darsa ilifanyika Dhul Qa'dah 09, 1447H Jumapili Aprili 26, 2026 Msijidhulumu Nafsi Zenu Humo فَلَا تَظْلِمُوا فِيهِنَّ أَنفُسَكُمْ Miezi mitakatifu الأشهر الحرم Kuna nyakati ambazo hazipiti kama zipitavo siku nyengine ... nyakati ambazo Allah Amezichagua kutoka miongoni mwa nyakati zote, na kuziinua hadhi yake; nyakati hizi ni fursa nyengine adhimu ya kutenda amali njema. Miezi mitakatifu si tu tarehe kwenye kalenda, bali ni misimu ya kijichumia thawabu kwani rehema hufurika, thawabu huongezeka, na dhambi hufutwa kwa wale wanaomuelekea Allah kwa nyoyo zao na kufanya amali njema. Ndani yake milango mingi ya heri hufunguliwa, safari ya kuiendea Baiti ya Allah (Makkah) hufungwa, sadaka hutolewa, mikono huinuliwa kwa dua, na dhambi husamehewa. Miezi Mitakatifu ndio ipi? ما هي الأشهر الحرم؟ Miezi Mitukufu ni minne (4) katika mwaka wa Hijiriyyah الأشهر الحرم هي أربعة أشهر في السنة الهجرية Nayo ni: وهي 1. Dhul-Qa'dah ذو القعدة 2. Dhul-Hijjah ذو الحجة 3. Muharram المحرّم 4. Rajab wa (kabila la Mudharr ambao uko baina ya Jumada na Sha'bani) رجب Fadhila za Miezi Mitukufu (Mitakatifu) فضل الأشهر الحرم 1. Uadhimisho -Utukuzwaji- wa Kuingu kwa Miezi Mitukufu التعظيم الإلهي للأشهر الحُرم Allah Anasema: إِنَّ عِدَّةَ الشُّهُورِ عِندَ اللَّـهِ اثْنَا عَشَرَ شَهْرًا فِي كِتَابِ اللَّـهِ يَوْمَ خَلَقَ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضَ مِنْهَا أَرْبَعَةٌ حُرُمٌ ۚ ذَٰلِكَ الدِّينُ الْقَيِّمُ ۚ فَلَا تَظْلِمُوا فِيهِنَّ أَنفُسَكُمْ ۚ وَقَاتِلُوا الْمُشْرِكِينَ كَافَّةً كَمَا يُقَاتِلُونَكُمْ كَافَّةً ۚ وَاعْلَمُوا أَنَّ اللَّـهَ مَعَ الْمُتَّقِينَ﴿٣٦﴾ 2. Thawabu na ujiri hulipwa maradufu مضاعفة الثواب والأجر 3. Kufungamana kwake na Ibada ya Hija na Umrah ارتباطها بمناسك الحج والعمرة 4. Amali mahususi na aina mbalimbali za matendo ya ibada الأعمال المخصوصة والعبادات المميزة * Saumu ya Muharram ni: Bora kabisa baada ya Saumu ya Ramadhani صيام المحرّم: يُعتبر أفضل الصيام بعد رمضان *Siku Kumi za Dhul Hijjah ni: Siku kumi bora عشر ذي الحجة: من أفضل أيام العمل الصالح في السنة *Siku Ya Arafah:Siku ya kughufuriliwa na kuachwa huru na Moto يوم عرفة: يوم المغفرة والعتق من النار * Siku ya Aashuraa: Saumu yake hufuta dhambi za mwaka uliopita عاشوراء: صيامه يكفر ذنوب السنة الماضية Amali bora katika Miezi Mitukufu أفضل الأعمال في الأشهر الحرم * Kukithirisha Sala za Sunnah na Dua hususan nyakati zenye kujibiwa لإكثار من الصلاة والدعاء: خاصة في الأوقات المستجابة *Kusoma Qur aani kwa mazingatio na unyenyekevu تلاوة القرآن الكريم: بتدبر وخشوع *Kuleta Dhikr na Tasbihi kwa wingi الذكر والتسبيح *Kutoa Sadaka الصدقة *Kutafuta eilmu ya Dini kwa kusoma na kusikiliza mawaidha. *Kumswalia Nabii صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ. *Kuunga undugu * Kuwafanyia ihsani wazazi wawili. *Kuwafanyia ihsani majirani, marafiki na Waislamu kwa ujumla. *Kulisha maskini. *Kusuluhisha waliohasimiana. *Kuamrishana mema na kukatazana maovu. Miezi Mitukufu katika Qur aani na Sunnah الأشهر الحرم في القرآن والسنة Allaah Anasema: إِنَّ عِدَّةَ الشُّهُورِ عِندَ اللَّـهِ اثْنَا عَشَرَ شَهْرًا فِي كِتَابِ اللَّـهِ يَوْمَ خَلَقَ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضَ مِنْهَا أَرْبَعَةٌ حُرُمٌ ۚ ذَٰلِكَ الدِّينُ الْقَيِّمُ ۚ فَلَا تَظْلِمُوا فِيهِنَّ أَنفُسَكُمْ ۚ وَقَاتِلُوا الْمُشْرِكِينَ كَافَّةً كَمَا يُقَاتِلُونَكُمْ كَافَّةً ۚ وَاعْلَمُوا أَنَّ اللَّـهَ مَعَ الْمُتَّقِينَ﴿٣٦ "Hakika idadi ya miezi mbele ya Allah ni kumi na mbili katika hukumu ya makadirio ya Allah, (tangu) siku Aliyoumba mbingu na ardhi; kati ya hiyo, (iko miezi) minne mitukufu; hivyo ndiyo Dini iliyo nyoofu; basi msijidhulumu humo nafsi zenu (kwa kufanya maasi), na piganeni vita na washirikina wote kama wao wanavyokupigeni vita nyote, na jueni kwamba Allah Yu pamoja na wenye taqwa." [At-Tawbah 9:36] Na katika Sunnah: :عن أبي بَكْرَةَ رضي الله عنه عَنْ النَّبِيِّ صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ أنه قَالَ إن الزَّمَانَ قَدْ اسْتَدَارَ كَهَيْئَتِهِ يَوْمَ خَلَقَ اللَّهُ السَّمَوَاتِ وَالأَرْضَ السَّنَةُ اثْنَا عَشَرَ شَهْرًا مِنْهَا أَرْبَعَةٌ حُرُمٌ ثَلاثٌ مُتَوَالِيَاتٌ ذُو الْقَعْدَةِ وَذُو الْحِجَّةِ وَالْمُحَرَّمُ وَرَجَبُ مُضَرَ الَّذِي بَيْنَ جُمَادَى وَشَعْبَانَ Imepokelewa kutokana na Abu Bakrah رضي الله عنه kwamba Nabiy صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ amesema: "Hakika mgawano wa zama umerudi katika hali yake ya asili siku Allah Alipoumba mbingu na ardhi, mwaka una miezi kumi na mbili; minne miongoni ya hiyo ni mitukufu, mitatu inafuatana pamoja: Dhul-Qa'dah, na Dhul-Hijjah na Muharram, na mwengine ni Rajab wa (kabila la) Mudharr ambao uko baina ya Jumada na Shabani" Wamewafikiana Bukhari na Muslim.
Play Video
Play Video
01:04:21
Mimbari (IV) ماذا يريدُ اللهُ منا بعدَ رمضانَ؟ 🔴Nini Allah Anataka kutoka kwetu Baada ya Ramadhani?
Darsa ilifanyika Dhul Qa'dah 07, 1447H Ijumaa Aprili 24, 2026 ماذا يريدُ اللهُ منا بعدَ رمضانَ؟ Nini Allah AnatakaKukiona kutoka kwetu Baada ya Ramadhani?
Play Video
Play Video
57:06
DARSA: مَوْسُوعَة عُلُومِ الحَدِيْثِ وفُنُونِه 🔴LIVE| أَثْبَتُ البِلاَدِ فِي الحَدِيْثِ الصَّحِيحِ
Darsa ilifanyika Dhul Qa'dah 07, 1447H Ijumaa Aprili 24, 2026 Biladi -miji- iliyomakinika -iliyodhibitika- zaidi katika Hadithi sahihi أَثْبَتُ البِلاَدِ فِي الحَدِيْثِ الصَّحِيحِ 1. Madinah المدينة المنورة 2. Makkah مكة 3. Kufah الكوفة 4. Shaam الشام 5. Basrah البصرة :قال الإمام تقي الدين بن تيميه رحمه الله تعالى "اتفق أهل العلم بالحديث على أن أصح الأحاديث ما رواه أهل المدينة ثم أهل البصرة ثم أهل الشام" Wanazuoni wa Hadithi wamewafikiana -wamekubaliana- kwamba Hadithi sahihi zaidi ni zile zilizosimuliwa na watu wa: 1. Madina 2. Basra 3. Shaam (Syria). Njia sahihi zaidi za upokezi wa Sunnah أَصَحُّ طُرُقِ السُّنَنِ Al-Khatib alisema: : قال الخطيب Njia sahihi za upokezi zaidi za Sunnah ni ile iliyosimuliwa na: أصح طرق السنن، ما يرويه 1. Ahali wa Haramayni Madinah أهل الحرمين؛ مكة والمدينة 2. Ahali wa Yemen أهل اليمن 3. Ahali wa Basrah أهل البصرة Watu waliomakinika zaidi أَثْبَتُ النَّاسِ Watu waliomakinika zaidi kuhusiana na fulani (sheikh wake) أَثْبَتُ النَّاسِ فِي فُلاَن Al Athar الأَثَرُ
Play Video
Play Video
01:00:19
Darsa: المنظومة الحائيةِ 🔴LIVE | DARSA وَلاَ تَقُلِ: القُرْآنُ خَلْقًا قِرَاءَةً Ust Abu Raifah
Darsa ilifanyika Dhul Qa'dah 07, 1447H Ijumaa Aprili 24, 2026 شرح المنظومة الحائية في عقيدة أَهْلِ السُّنَّةِ وَالجَمَاعَةِ لابن أبي داود لابن أبي داود Sharhu ya shairi (utenzi wa) Haaiyyah kuhusiana na Itikadi/Aqidah ya Ahali wa Sunnah na Jamaa’h وَلاَ تَقُلِ: القُرْآنُ خَلْقًا قِرَاءَةً * فَإِنَّ كَلاَمَ اللهِ بِاللَّفْظِ يُوْضَحُ Na wala usiseme kuwa: Qur-aani (lile lafdhi langu) ni mahuluku pale ninapoisoma. kwani hakika Maneno ya Allah kwa lafdhi yanawekwa wazi.
Play Video
Play Video
55:38
Darsa ya Tafsiri: شرح المصباح المنير في تهذيب تفسير ابن الكثير 🔴 LIVE Aayah 156 -157 Ust Abu Raifa
Darsa ilifanyika Dhul Qa'dah 05, 1447H Jumatano Aprili 22, 2026 Tafsiri ya Suratul Baqarah تفسير سورة البقرة .فَضْلُ الاَسْتِرْجَاعِ عِنْدَ المُصِيْبَةِ Fadhila za kusema "Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un - sisi ni wa Allah na Kwake tutarejea' pale tunapopatwa na msiba ﴾الَّذِينَ إِذَا أَصَابَتْهُم مُّصِيبَةٌ قَالُوا إِنَّا لِلَّـهِ وَإِنَّا إِلَيْهِ رَاجِعُونَ﴿١٥٦ "Ambao unapowafika msiba husema: Hakika sisi ni wa Allah na hakika sisi Kwake ni wenye kurejea." ﴾أُولَـٰئِكَ عَلَيْهِمْ صَلَوَاتٌ مِّن رَّبِّهِمْ وَرَحْمَةٌ ۖ وَأُولَـٰئِكَ هُمُ الْمُهْتَدُونَ ﴿١٥٧ "Hao zitakuwa juu yao baraka kutoka kwa Rabi wao na rehma, na hao ndio wenye kuhidika."
Play Video
Play Video
01:12:43
Darsa: سنن الترمذي 🔴 LIVE | DARSA رَاوِي الحَدِيثِ : سهيل بن أبي صالح Ust Abu Raifah
Darsa ilifanyika Dhul Qa'dah 04, 1447H Jumanne Aprili 21, 2026 HADITHI YA PILI Sunanut Tirmidhi سنن الترمذي كتاب الطهارة عن رسول الله صلى الله عليه وسلم Kitabu cha Twahara/tohara kutokana na Rasuli wa Allah صلى الله عليه وسلم باب مَا جَاءَ فِي فَضْلِ الطُّهُورِ Mlango: Yaliyokuja Kuhusiana na Fadhila za twuhuru (chenye kutwaharisha/utakaso) حَدَّثَنَا إِسْحَاقُ بْنُ مُوسَى الأَنْصَارِيُّ، حَدَّثَنَا مَعْنُ بْنُ عِيسَى الْقَزَّازُ، حَدَّثَنَا مَالِكُ بْنُ أَنَسٍ، ح وَحَدَّثَنَا قُتَيْبَةُ، عَنْ مَالِكٍ، عَنْ سُهَيْلِ بْنِ أَبِي صَالِحٍ، عَنْ أَبِيهِ، عَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ، قَالَ قَالَ رَسُولُ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم " إِذَا تَوَضَّأَ الْعَبْدُ الْمُسْلِمُ أَوِ الْمُؤْمِنُ فَغَسَلَ وَجْهَهُ خَرَجَتْ مِنْ وَجْهِهِ كُلُّ خَطِيئَةٍ نَظَرَ إِلَيْهَا بِعَيْنَيْهِ مَعَ الْمَاءِ أَوْ مَعَ آخِرِ قَطْرِ الْمَاءِ أَوْ نَحْوِ هَذَا وَإِذَا غَسَلَ يَدَيْهِ خَرَجَتْ مِنْ يَدَيْهِ كُلُّ خَطِيئَةٍ بَطَشَتْهَا يَدَاهُ مَعَ الْمَاءِ أَوْ مَعَ آخِرِ قَطْرِ الْمَاءِ حَتَّى يَخْرُجَ نَقِيًّا مِنَ الذُّنُوبِ " ”Atapotawadha mja Muislam, au Muumini, akaosha uso wake, basi hutoka kwenye uso wake kila madhambi aliyoyapata kwa kuangalia, pamoja na maji ama pamoja na tone la mwisho la maji au mfano wake, na akiosha mikono yake miwili, basi yatatoka mikononi mwake kila madhambi aliyoyapata kwa mikono yake pamoja na maji au pamoja na tone la mwisho la maji, mpaka anatoka akiwa safi kutokana na madhambi.” Wapokezi wa Hadithi hii رُوَاةُ هَذَا الحَدِيثِ 1. Is-haq bin Musa Al Ansari (Rahimahullahu) إِسْحَاقُ بْنُ مُوسَى الأَنْصَارِيُّ 2. Ma'n bin Isa Al Qazzaz (Rahimahullahu) مَعْنُ بْنُ عِيسَى الْقَزَّازُ 3. Malik bin Anas (Rahimahullahu) مَالِكُ بْنُ أَنَسٍ 4. Qutaybah (Rahimahullahu) قُتَيْبَةُ 5. Suhail bin Abu Saleh (Rahimahullahu) سُهَيْل بْنِ أَبُوصَالِحٍ 6. Abu Saleh (Rahimahullahu) أَبُوصَالِحٍ 7. Abu Hurayrah (Allah Awe Radhi Nae) أَبُو هُرَيْرَةَ رضي الله عنه Msimulizi wa Hadithi: Suhayl bin Abu Saleh (Rahimahullahu) سهيل بن أبي صالح لاسم: سهيل بن أبي صالح (سهيل بن أبي صالح: ذكوان) الشهرة: السمان الكنية: أبو يزيد النسب: السمان، المدني علاقات الراوي: مولى جويرية بنت الأحمس امرأة من غطفان, أخو صالح، وعبد الله، ومحمد, وعباد, ويحيى تاريخ الوفاة: 138هـ, أو: 140 هـ, أو: 141 هـ، وفى تاريخ بن أبى عاصم: 128 هـ طبقة رواة التقريب: السادسة الرتبة عند ابن حجر: صدوق, تغير حفظه بآخره الرتبة عند الذهبي: قال ابن معين: هو مثل العلاء، وليس بحجة, وقال أبو حاتم: لا يحتج به, ووثقه ناس
Play Video
Play Video
55:41
Darsa ya Tafsiri: شرح المصباح المنير في تهذيب تفسير ابن الكثير 🔴 LIVE Aayah 155-157 Ust Abu Raifa
Darsa ilifanyika Dhul Qa'dah 04, 1447H Jumanne Aprili 21, 2026 Tafsiri ya Suratul Baqarah تفسير سورة البقرة Muumini hujaribiwa, lakini huvumilia na hulipwa ujira (thawabu) يُبْتَلَى المُؤْمِنُ فَيَصْبِرُ وَيُؤْجَرُ ﴾وَلَنَبْلُوَنَّكُم بِشَيْءٍ مِّنَ الْخَوْفِ وَالْجُوعِ وَنَقْصٍ مِّنَ الْأَمْوَالِ وَالْأَنفُسِ وَالثَّمَرَاتِ ۗ وَبَشِّرِ الصَّابِرِينَ ﴿١٥٥ "Na bila shaka Tutakujaribuni kwa jambo katika hofu, njaa, upungufu wa mali, nafsi na mazao; na wabashirie wenye subira." ﴾الَّذِينَ إِذَا أَصَابَتْهُم مُّصِيبَةٌ قَالُوا إِنَّا لِلَّـهِ وَإِنَّا إِلَيْهِ رَاجِعُونَ﴿١٥٦ "Ambao unapowafika msiba husema: Hakika sisi ni wa Allah na hakika sisi Kwake ni wenye kurejea." ﴾أُولَـٰئِكَ عَلَيْهِمْ صَلَوَاتٌ مِّن رَّبِّهِمْ وَرَحْمَةٌ ۖ وَأُولَـٰئِكَ هُمُ الْمُهْتَدُونَ ﴿١٥٧ "Hao zitakuwa juu yao baraka kutoka kwa Rabi wao na rehma, na hao ndio wenye kuhidika."
Play Video
Play Video
46:53
Darsa: سنن أبي داود 🔴 LIVE | DARSA (III) رَاوِي الحَدِيثِ : حماد بن سلمة بن دينار Ust Abu Raifah
Darsa ilifanyika Dhul Qa'dah 03, 1447H Jumatatu Aprili 20, 2026 Sunan Abu Daud سنن أبي داود Kitabu cha Twahara كتاب الطهارة Mlango wa Rajuli kuchagua pahala pazuri pa kukojoa باب الرَّجُلِ يَتَبَوَّأُ لِبَوْلِهِ حَدَّثَنَا مُوسَى بْنُ إِسْمَاعِيلَ، حَدَّثَنَا حَمَّادٌ، أَخْبَرَنَا أَبُو التَّيَّاحِ، حَدَّثَنِي شَيْخٌ، قَالَ لَمَّا قَدِمَ عَبْدُ اللَّهِ بْنُ عَبَّاسٍ الْبَصْرَةَ فَكَانَ يُحَدَّثُ عَنْ أَبِي مُوسَى، فَكَتَبَ عَبْدُ اللَّهِ إِلَى أَبِي مُوسَى يَسْأَلُهُ عَنْ أَشْيَاءَ، فَكَتَبَ إِلَيْهِ أَبُو مُوسَى إِنِّي كُنْتُ مَعَ رَسُولِ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم ذَاتَ يَوْمٍ فَأَرَادَ أَنْ يَبُولَ فَأَتَى دَمِثًا فِي أَصْلِ جِدَارٍ فَبَالَ ثُمَّ قَالَ صلى الله عليه وسلم " إِذَا أَرَادَ أَحَدُكُمْ أَنْ يَبُولَ فَلْيَرْتَدْ لِبَوْلِهِ مَوْضِعًا " . Wapokezi wa Hadithi hii رُوَاةُ هَذَا الحَدِيثِ 1. Musa bin Ismail (Rahimahullahu) مُوسَى بْنُ إِسْمَاعِيلَ 2. Hammad (Rahimahullahu) حَمَّادٌ 3. Abut Tiyyah (Rahimahullahu) أَبُو التَّيَّاحِ 4. Shaikh (Rahimahullahu) شَيْخٌ 5. Abu Musa (Allah Awe Radhi Nae) أَبُو مُوسَى Msimulizi wa Hadithi: Hammad bin Abu Salamah حماد بن سلمة بن دينار الاسم: حماد بن سلمة بن دينار الكنية: أبو سلمة النسب: البصري، الخزاز, التميمى، ويقال: القرشي مولاهم، وقد قيل: إنه حميري, السلمى, مولى بني ربيعة بن مالك بن حنظلة بلد الإقامة: البصرة علاقات الراوي: مولى تميم، ويقال: مولى قريش، ويقال: مولى ربيعة بن مالك بن حنظلة، ويقال: مولى حميري بن كرامة ويقال: مولى حميد بن كراثة، ابن أخت حميد الطويل تاريخ الوفاة: 167 هـ، أو 165 هـ بلد الرحلة: واسط طبقة رواة التقريب: من كبار الثامنة الرتبة عند ابن حجر: ثقه عابد، أثبت الناس في ثابت، وتغير حفظه بآخره الرتبة عند الذهبي: أحد الأعلام، ثقة صدوق يغلط، وليس في قوة مالك
Contact
bottom of page