top of page

Darsa 
na Mihadhara Online

Mosque

ٱقْرَأْ بِٱسْمِ رَبِّكَ ٱلَّذِى خَلَقَ

Soma kwa ajili ya Mola wako aliyeumba
Al-Alaq 91;1
Sherehe ya Hadithi Arubaini za Nawawiyyah شرح الأربعين النووية 🔴 LIVE | Mdarasishaji Abu Mou'adh
01:05:23

Sherehe ya Hadithi Arubaini za Nawawiyyah شرح الأربعين النووية 🔴 LIVE | Mdarasishaji Abu Mou'adh

Darsa ilifanyika Dhul qa'dah 10, 1446 H Alhamisi Mei 08, 2025 Hadithi ya 21 na 22 قُلْ: آمَنْتُ بِاللهِ، ثُمَّ استَقِمْ Sema: Namuamini Allah; kisha Thibitika Imara عن أبي عمر، وقيل: أبي عَمرة سفيان بن عبد الله رضي الله عنه قَالَ: قُلْتُ: يَا رَسُول الله، قُلْ لي في الإسْلامِ قَولًا لا أسْأَلُ عَنْهُ أَحَدًا غَيْرَكَ. قَالَ: ((قُلْ: آمَنْتُ بِاللهِ، ثُمَّ استَقِمْ)). رواه مسلم Abu Umar, na pia imesemwa anajulikana kama: Abu Amrah Sufyan bin Abdillah (Allah Awe Radhi Nae) amesema: Nilisema: 'Ewe Rasuli wa Allah! Niambie neno katika Uislamu ambalo sitomuuliza mwengine yoyote zaidi yako. Rasuli wa Allah akasema: “Sema: Nimemuamini Allah, kisha thibiti imara.” أَرَأَيْتَ إذَا صَلَّيْتُ الْمكْتُوباتِ، وَصُمْتُ رَمَضانَ Je, Unaonaje kama nikisali Sala za Faradhi, na nikafunga (Shahari ya) Ramadhani عَنْ أبي عَبْدِ اللهِ جَابِرِ بْنِ عَبْدِ اللهِ الأنْصَارِيِّ رَضي اللهُ عَنْهُما أَنَّ رَجُلاً سَأَلَ رَسُولَ اللهِ صلى الله عليه وسلم فَقال: أَرَأَيْتَ إذَا صَلَّيْتُ الْمكْتُوباتِ، وَصُمْتُ رَمَضانَ، وَأَحْلَلْتُ الْحَلاَلَ، وَحَرَّمْتُ الْحَرَامَ، وَلَمْ أَزِدْ على ذِلكَ شَيْئاً، أَأَدْخُلُ الْجَنَّةَ ؟ قال: ((نَعَمْ)) رَوَاهُ مُسْلِمٌ Kutokana na Abu Abdillah Jabir bin Abdillah Ansari (Allah Awe Radhi Nao) kwamba rajuli alimuuliza Rasuli wa Allah (Swalla Allahu 'alayhi wa aalihi wa sallam): Je unaonaje kama nitaswali Sala za faradhi (pekee), na nikafunga (Shahari ya) Ramadhani, na nikahalalisha (yaliyo) halali, na nikaharamisha kile kilichoharimishwa, na kisha sizdishi juu yake chochote; je nitaingia Jannah? Rasuli wa Allah akamjibu: “Ndio.”
Sherehe ya Hadithi za Riyadhu باب في الأمر بالمحافظة عَلَى السنة وآدابها  🔴  LIVE DARSA  (58)
01:13:21

Sherehe ya Hadithi za Riyadhu باب في الأمر بالمحافظة عَلَى السنة وآدابها 🔴 LIVE DARSA (58)

Darsa ilifanyika Dhul Qa'dah 09, 1446 H Jumatano Mei 07, 2025 باب في الأمر بالمحافظة عَلَى السنة وآدابها Mlango wa katika Maamrisho ya Kuzihifadhi Sunnah Na Adabu Zake قَالَ الله تَعَالَى وَمَا آتَاكُمُ الرَّسُولُ فَخُذُوهُ وَمَا نَهَاكُمْ عَنْهُ فَانتَهُوا "Na lolote lile analokupeni Rasuli (صلى الله عليه وآله وسلم) basi lichukueni, na lolote lile analokukatazeni, basi liacheni." Al-Hashr: 7. وَمَا يَنطِقُ عَنِ الْهَوَىٰ إِنْ هُوَ إِلَّا وَحْيٌ يُوحَىٰ " Na hatamki kwa hawaa. Hayo si chochote isipokuwa ni Wahyi unaofunuliwa." An-Najm: 3-4. قُلْ إِن كُنتُمْ تُحِبُّونَ اللَّـهَ فَاتَّبِعُونِي يُحْبِبْكُمُ اللَّـهُ وَيَغْفِرْ لَكُمْ ذُنُوبَكُمْ ﴿٣١ "Sema (ee Muhammad صلى الله عليه وآله وسلم): “Mkiwa mnampenda Allah, basi nifuateni mimi, Allah Atakupendeni na Atakughufurieni dhambi zenu." Aal-‘Imraan: 31. لَّقَدْ كَانَ لَكُمْ فِي رَسُولِ اللَّـهِ أُسْوَةٌ حَسَنَةٌ لِّمَن كَانَ يَرْجُو اللَّـهَ وَالْيَوْمَ الْآخِرَ وَذَكَرَ اللَّـهَ كَثِيرًا ﴿٢١ "Kwa yakini mna kigezo kizuri kwa Rasuli wa Allah kwa mwenye kumtaraji Allah na Siku ya Mwisho na akamdhukuru Allah kwa wingi." Al-Ahzaab: 21. فَلَا وَرَبِّكَ لَا يُؤْمِنُونَ حَتَّىٰ يُحَكِّمُوكَ فِيمَا شَجَرَ بَيْنَهُمْ ثُمَّ لَا يَجِدُوا فِي أَنفُسِهِمْ حَرَجًا مِّمَّا قَضَيْتَ وَيُسَلِّمُوا تَسْلِيمًا ﴿٦٥ "Basi Naapa kwa Rabi wako, hawatoamini mpaka wakufanye wewe ni mwamuzi katika yale wanayozozana baina yao, kisha wasipate katika nyoyo zao karaha katika yale uliyohukumu na wajisalimishe, kwa kujisalimisha (kikamilifu)." An-Nisaa: 65. فَإِن تَنَازَعْتُمْ فِي شَيْءٍ فَرُدُّوهُ إِلَى اللَّـهِ وَالرَّسُولِ ﴿٥٩ "Mkizozana katika jambo basi lirudisheni kwa Allah na Rasuli." An-Nisaa: 59. مَّن يُطِعِ الرَّسُولَ فَقَدْ أَطَاعَ اللَّـهَ ﴿٨٠ "Na atakayemtii Rasuli basi kwa yakini amemtii Allah." An-Nisaa: 80. إِنَّكَ لَتَهْدِي إِلَىٰ صِرَاطٍ مُّسْتَقِيمٍ ﴿٥٢ "Na hakika wewe (Muhammad صلى الله عليه وآله وسلم) bila shaka unaongoza kuelekea njia iliyonyooka." فَلْيَحْذَرِ الَّذِينَ يُخَالِفُونَ عَنْ أَمْرِهِ أَن تُصِيبَهُمْ فِتْنَةٌ أَوْ يُصِيبَهُمْ عَذَابٌ أَلِيمٌ ﴿٦٣ "Basi watahadhari wale wanaohalifu amri yake, isije kuwasibu fitna au ikawasibu adhabu iumizayo." An-Nuur: 63. وَاذْكُرْنَ مَا يُتْلَىٰ فِي بُيُوتِكُنَّ مِنْ آيَاتِ اللَّـهِ وَالْحِكْمَةِ ﴿ "Na kumbukeni yale yanayosomwa majumbani mwenu katika Ayaat za Allah na Hikmah (Sunnah)." Al-Ahzaab: 34.
Sherehe ya Hadithi za Riyadhu باب في الأمر بالمحافظة عَلَى السنة وآدابها  🔴  LIVE DARSA  (57)
01:09:17

Sherehe ya Hadithi za Riyadhu باب في الأمر بالمحافظة عَلَى السنة وآدابها 🔴 LIVE DARSA (57)

Darsa ilifanyika Dhul Qa'dah 08, 1446 H Jumanne Mei 06, 2025 باب في الأمر بالمحافظة عَلَى السنة وآدابها Mlango wa katika Maamrisho ya Kuzihifadhi Sunnah Na Adabu Zake قَالَ الله تَعَالَى وَمَا آتَاكُمُ الرَّسُولُ فَخُذُوهُ وَمَا نَهَاكُمْ عَنْهُ فَانتَهُوا "Na lolote lile analokupeni Rasuli (صلى الله عليه وآله وسلم) basi lichukueni, na lolote lile analokukatazeni, basi liacheni." Al-Hashr: 7. وَمَا يَنطِقُ عَنِ الْهَوَىٰ إِنْ هُوَ إِلَّا وَحْيٌ يُوحَىٰ " Na hatamki kwa hawaa. Hayo si chochote isipokuwa ni Wahyi unaofunuliwa." An-Najm: 3-4. قُلْ إِن كُنتُمْ تُحِبُّونَ اللَّـهَ فَاتَّبِعُونِي يُحْبِبْكُمُ اللَّـهُ وَيَغْفِرْ لَكُمْ ذُنُوبَكُمْ ﴿٣١ "Sema (ee Muhammad صلى الله عليه وآله وسلم): “Mkiwa mnampenda Allah, basi nifuateni mimi, Allah Atakupendeni na Atakughufurieni dhambi zenu." Aal-‘Imraan: 31. لَّقَدْ كَانَ لَكُمْ فِي رَسُولِ اللَّـهِ أُسْوَةٌ حَسَنَةٌ لِّمَن كَانَ يَرْجُو اللَّـهَ وَالْيَوْمَ الْآخِرَ وَذَكَرَ اللَّـهَ كَثِيرًا ﴿٢١ "Kwa yakini mna kigezo kizuri kwa Rasuli wa Allah kwa mwenye kumtaraji Allah na Siku ya Mwisho na akamdhukuru Allah kwa wingi." Al-Ahzaab: 21. فَلَا وَرَبِّكَ لَا يُؤْمِنُونَ حَتَّىٰ يُحَكِّمُوكَ فِيمَا شَجَرَ بَيْنَهُمْ ثُمَّ لَا يَجِدُوا فِي أَنفُسِهِمْ حَرَجًا مِّمَّا قَضَيْتَ وَيُسَلِّمُوا تَسْلِيمًا ﴿٦٥ "Basi Naapa kwa Rabi wako, hawatoamini mpaka wakufanye wewe ni mwamuzi katika yale wanayozozana baina yao, kisha wasipate katika nyoyo zao karaha katika yale uliyohukumu na wajisalimishe, kwa kujisalimisha (kikamilifu)." An-Nisaa: 65. فَإِن تَنَازَعْتُمْ فِي شَيْءٍ فَرُدُّوهُ إِلَى اللَّـهِ وَالرَّسُولِ ﴿٥٩ "Mkizozana katika jambo basi lirudisheni kwa Allah na Rasuli." An-Nisaa: 59. مَّن يُطِعِ الرَّسُولَ فَقَدْ أَطَاعَ اللَّـهَ ﴿٨٠ "Na atakayemtii Rasuli basi kwa yakini amemtii Allah." An-Nisaa: 80. إِنَّكَ لَتَهْدِي إِلَىٰ صِرَاطٍ مُّسْتَقِيمٍ ﴿٥٢ "Na hakika wewe (Muhammad صلى الله عليه وآله وسلم) bila shaka unaongoza kuelekea njia iliyonyooka." فَلْيَحْذَرِ الَّذِينَ يُخَالِفُونَ عَنْ أَمْرِهِ أَن تُصِيبَهُمْ فِتْنَةٌ أَوْ يُصِيبَهُمْ عَذَابٌ أَلِيمٌ ﴿٦٣ "Basi watahadhari wale wanaohalifu amri yake, isije kuwasibu fitna au ikawasibu adhabu iumizayo." An-Nuur: 63. وَاذْكُرْنَ مَا يُتْلَىٰ فِي بُيُوتِكُنَّ مِنْ آيَاتِ اللَّـهِ وَالْحِكْمَةِ ﴿ "Na kumbukeni yale yanayosomwa majumbani mwenu katika Ayaat za Allah na Hikmah (Sunnah)." Al-Ahzaab: 34.
Sherehe ya Hadithi za Riyadhu باب في الأمر بالمحافظة عَلَى السنة وآدابها  🔴  LIVE DARSA  (56)
01:17:12

Sherehe ya Hadithi za Riyadhu باب في الأمر بالمحافظة عَلَى السنة وآدابها 🔴 LIVE DARSA (56)

Darsa ilifanyika Dhul Qa'dah 07, 1446 H Jumatatu Mei 05, 2025 باب في الأمر بالمحافظة عَلَى السنة وآدابها Mlango wa katika Maamrisho ya Kuzihifadhi Sunnah Na Adabu Zake قَالَ الله تَعَالَى وَمَا آتَاكُمُ الرَّسُولُ فَخُذُوهُ وَمَا نَهَاكُمْ عَنْهُ فَانتَهُوا "Na lolote lile analokupeni Rasuli (صلى الله عليه وآله وسلم) basi lichukueni, na lolote lile analokukatazeni, basi liacheni." Al-Hashr: 7. وَمَا يَنطِقُ عَنِ الْهَوَىٰ إِنْ هُوَ إِلَّا وَحْيٌ يُوحَىٰ " Na hatamki kwa hawaa. Hayo si chochote isipokuwa ni Wahyi unaofunuliwa." An-Najm: 3-4. قُلْ إِن كُنتُمْ تُحِبُّونَ اللَّـهَ فَاتَّبِعُونِي يُحْبِبْكُمُ اللَّـهُ وَيَغْفِرْ لَكُمْ ذُنُوبَكُمْ ﴿٣١ "Sema (ee Muhammad صلى الله عليه وآله وسلم): “Mkiwa mnampenda Allah, basi nifuateni mimi, Allah Atakupendeni na Atakughufurieni dhambi zenu." Aal-‘Imraan: 31. لَّقَدْ كَانَ لَكُمْ فِي رَسُولِ اللَّـهِ أُسْوَةٌ حَسَنَةٌ لِّمَن كَانَ يَرْجُو اللَّـهَ وَالْيَوْمَ الْآخِرَ وَذَكَرَ اللَّـهَ كَثِيرًا ﴿٢١ "Kwa yakini mna kigezo kizuri kwa Rasuli wa Allah kwa mwenye kumtaraji Allah na Siku ya Mwisho na akamdhukuru Allah kwa wingi." Al-Ahzaab: 21. فَلَا وَرَبِّكَ لَا يُؤْمِنُونَ حَتَّىٰ يُحَكِّمُوكَ فِيمَا شَجَرَ بَيْنَهُمْ ثُمَّ لَا يَجِدُوا فِي أَنفُسِهِمْ حَرَجًا مِّمَّا قَضَيْتَ وَيُسَلِّمُوا تَسْلِيمًا ﴿٦٥ "Basi Naapa kwa Rabi wako, hawatoamini mpaka wakufanye wewe ni mwamuzi katika yale wanayozozana baina yao, kisha wasipate katika nyoyo zao karaha katika yale uliyohukumu na wajisalimishe, kwa kujisalimisha (kikamilifu)." An-Nisaa: 65. فَإِن تَنَازَعْتُمْ فِي شَيْءٍ فَرُدُّوهُ إِلَى اللَّـهِ وَالرَّسُولِ ﴿٥٩ "Mkizozana katika jambo basi lirudisheni kwa Allah na Rasuli." An-Nisaa: 59. مَّن يُطِعِ الرَّسُولَ فَقَدْ أَطَاعَ اللَّـهَ ﴿٨٠ "Na atakayemtii Rasuli basi kwa yakini amemtii Allah." An-Nisaa: 80. إِنَّكَ لَتَهْدِي إِلَىٰ صِرَاطٍ مُّسْتَقِيمٍ ﴿٥٢ "Na hakika wewe (Muhammad صلى الله عليه وآله وسلم) bila shaka unaongoza kuelekea njia iliyonyooka." فَلْيَحْذَرِ الَّذِينَ يُخَالِفُونَ عَنْ أَمْرِهِ أَن تُصِيبَهُمْ فِتْنَةٌ أَوْ يُصِيبَهُمْ عَذَابٌ أَلِيمٌ ﴿٦٣ "Basi watahadhari wale wanaohalifu amri yake, isije kuwasibu fitna au ikawasibu adhabu iumizayo." An-Nuur: 63. وَاذْكُرْنَ مَا يُتْلَىٰ فِي بُيُوتِكُنَّ مِنْ آيَاتِ اللَّـهِ وَالْحِكْمَةِ ﴿ "Na kumbukeni yale yanayosomwa majumbani mwenu katika Ayaat za Allah na Hikmah (Sunnah)." Al-Ahzaab: 34.
Sherehe ya Hadithi za Riyadhu  باب المحافظة عَلَى الأعمال  🔴  LIVE DARSA  (55)
01:10:58

Sherehe ya Hadithi za Riyadhu باب المحافظة عَلَى الأعمال 🔴 LIVE DARSA (55)

Darsa ilifanyika Dhul qa'dah 02, 1446 H Jumatano April 30, 2025 باب المحافظة عَلَى الأعمال Mlango Wa Kuhifadhi Amali قَالَ الله تَعَالَى أَلَمْ يَأْنِ لِلَّذِينَ آمَنُوا أَن تَخْشَعَ قُلُوبُهُمْ لِذِكْرِ اللَّـهِ وَمَا نَزَلَ مِنَ الْحَقِّ وَلَا يَكُونُوا كَالَّذِينَ أُوتُوا الْكِتَابَ مِن قَبْلُ فَطَالَ عَلَيْهِمُ الْأَمَدُ فَقَسَتْ قُلُوبُهُمْ "Je, haujafika wakati kwa walioamini kwamba zinyenyekee nyoyo zao kwa dhikrillahi na yale yaliyoteremka ya haki, na wala wasiwe kama wale waliopewa Kitabu kabla, ukawatawilikia muda, kisha zikawa ngumu nyoyo zao?" Al-Hadid: 16. وَقَفَّيْنَا بِعِيسَى ابْنِ مَرْيَمَ وَآتَيْنَاهُ الْإِنجِيلَ وَجَعَلْنَا فِي قُلُوبِ الَّذِينَ اتَّبَعُوهُ رَأْفَةً وَرَحْمَةً وَرَهْبَانِيَّةً ابْتَدَعُوهَا مَا كَتَبْنَاهَا عَلَيْهِمْ إِلَّا ابْتِغَاءَ رِضْوَانِ اللَّـهِ فَمَا رَعَوْهَا حَقَّ رِعَايَتِهَا "Na Tukamfuatisha Isa mwana wa Maryam, na Tukampa Injili; na Tukaweka katika nyoyo za wale waliomfuata upole na rehma na uruhubani (maisha ya utawa); wameyaanzisha wao wenyewe Hatukuwaandikia hayo juu yao isipokuwa ni kutafuta Radhi za Allah; lakini hawakuuchunga ipasavyo kuchungwa..." Al-Hadid: 27. وَلَا تَكُونُوا كَالَّتِي نَقَضَتْ غَزْلَهَا مِن بَعْدِ قُوَّةٍ أَنكَاثًا ﴿٩٢ "Na wala msiwe kama yule mwanamke aliyezongoa uzi wake vipande vipande baada ya (kuusokota na) kuwa mgumu." An-Nahl: 92. وَاعْبُدْ رَبَّكَ حَتَّىٰ يَأْتِيَكَ الْيَقِينُ "Na mwabudu Rabi wako mpaka ikufikie yakini (mauti)." Al-Hajr: 99.
Contact
bottom of page