top of page

Darsa 
na Mihadhara Online

Mosque

ٱقْرَأْ بِٱسْمِ رَبِّكَ ٱلَّذِى خَلَقَ

Soma kwa ajili ya Mola wako aliyeumba
Al-Alaq 91;1
Sherehe ya Hadithi za Riyadhu Swalihina باب في اليقين والتوكل  🔴  LIVE DARSA (30) Sh. Salim Issa
01:02:16

Sherehe ya Hadithi za Riyadhu Swalihina باب في اليقين والتوكل 🔴 LIVE DARSA (30) Sh. Salim Issa

Darsa ilifanyika Rajab 22, 1446 H Jumatano Januari 22, 2025 باب في اليقين والتوكل Mlango Wa Yakini Na Kutawakali قَالَ اللهُ تَعَالَى وَلَمَّا رَأَى الْمُؤْمِنُونَ الْأَحْزَابَ قَالُوا هَـٰذَا مَا وَعَدَنَا اللَّـهُ وَرَسُولُهُ وَصَدَقَ اللَّـهُ وَرَسُولُهُ ۚ وَمَا زَادَهُمْ إِلَّا إِيمَانًا وَتَسْلِيمًا "Basi Waumini walipoona makundi, walisema: Haya ndio yale Aliyotuahidi Allah na Rasuli Wake, na Amesema kweli Allah na Rasuli Wake; na haikuwazidishia isipokuwa imani na kujisalimisha." Al-Ahzaab: 22. الَّذِينَ قَالَ لَهُمُ النَّاسُ إِنَّ النَّاسَ قَدْ جَمَعُوا لَكُمْ فَاخْشَوْهُمْ فَزَادَهُمْ إِيمَانًا وَقَالُوا حَسْبُنَا اللَّـهُ وَنِعْمَ الْوَكِيلُ﴿١٧٣ "Wale walioambiwa na watu: Hakika watu wamejumuika dhidi yenu, basi waogopeni” (Haya) Yakawazidishia imani; na wakasema: “Allah Anatutosheleza, Mzuri Alioje Mdhamini Anayetegemewa kwa yote.” فَانقَلَبُوا بِنِعْمَةٍ مِّنَ اللَّـهِ وَفَضْلٍ لَّمْ يَمْسَسْهُمْ سُوءٌ وَاتَّبَعُوا رِضْوَانَ اللَّـهِ ۗ وَاللَّـهُ ذُو فَضْلٍ عَظِيمٍ ﴿١٧٤ "Basi wakarudi na neema kutoka kwa Allah na fadhila; halijawagusa ovu lolote; na wakafuatilia radhi za Allah; na Allah ni Mwenye fadhila adhimu." Aal-Imraan 3:173-174. قَالَتْ لَهُمْ رُسُلُهُمْ إِن نَّحْنُ إِلَّا بَشَرٌ مِّثْلُكُمْ وَلَـٰكِنَّ اللَّـهَ يَمُنُّ عَلَىٰ مَن يَشَاءُ مِنْ عِبَادِهِ ۖ وَمَا كَانَ لَنَا أَن نَّأْتِيَكُم بِسُلْطَانٍ إِلَّا بِإِذْنِ اللَّـهِ ۚ وَعَلَى اللَّـهِ فَلْيَتَوَكَّلِ الْمُؤْمِنُونَ ﴿١١ "Rasuli wao wakawajibu: “Sisi si chochote isipokuwa ni watu kama nyinyi, lakini Allah Anamfadhilisha Amtakaye miongoni mwa waja Wake; na haikutupasa sisi kukujieni kwa ushahidi isipokuwa kwa idhini ya Allah; na kwa Allah watawakali Waumini." Ibrahimu: 11. فَبِمَا رَحْمَةٍ مِّنَ اللَّـهِ لِنتَ لَهُمْ ۖ وَلَوْ كُنتَ فَظًّا غَلِيظَ الْقَلْبِ لَانفَضُّوا مِنْ حَوْلِكَ ۖ فَاعْفُ عَنْهُمْ وَاسْتَغْفِرْ لَهُمْ وَشَاوِرْهُمْ فِي الْأَمْرِ ۖ فَإِذَا عَزَمْتَ فَتَوَكَّلْ عَلَى اللَّـهِ ۚ إِنَّ اللَّـهَ يُحِبُّ الْمُتَوكِّلِينَ ﴿١٥٩ "Basi ni kwa rehema kutoka kwa Allah umekuwa mpole kwao (ee Muhammad صلى الله عليه وآله وسلم); na lau ungelikuwa mjeuri mwenye moyo mgumu wangelitawanyika mbali nawe (wakakukimbia); basi wasamehe na waombee maghufira na washauri katika mambo; na unapoazimia basi tawakali kwa Allah; hakika Allah Anapenda wanaotawakali." Aal-Imraan 3:159. وَيَرْزُقْهُ مِنْ حَيْثُ لَا يَحْتَسِبُ ۚ وَمَن يَتَوَكَّلْ عَلَى اللَّـهِ فَهُوَ حَسْبُهُ ۚ إِنَّ اللَّـهَ بَالِغُ أَمْرِهِ ۚ قَدْ جَعَلَ اللَّـهُ لِكُلِّ شَيْءٍ قَدْرًا﴿٣﴾ Na Atamruzuku kutoka njia ambayo hatizamii. Na yeyote anayetawakali kwa Allaah, basi Yeye Humtosheleza. Hakika Allaah Anatimiza kusudio Lake. Allaah Amejaalia kwa kila kitu makadirio. [Atw-Twalaaq: 3] إِنَّمَا الْمُؤْمِنُونَ الَّذِينَ إِذَا ذُكِرَ اللَّـهُ وَجِلَتْ قُلُوبُهُمْ وَإِذَا تُلِيَتْ عَلَيْهِمْ آيَاتُهُ زَادَتْهُمْ إِيمَانًا وَعَلَىٰ رَبِّهِمْ يَتَوَكَّلُونَ﴿٢﴾ Hakika Waumini ni wale ambao anapotajwa Allaah nyoyo zao, zinajaa khofu na wanaposomewa Aayaat Zake huwazidishia iymaan, na kwa Rabb wao wanatawakali. [Al-Anfaal: 2]
Sherehe ya Hadithi za Riyadhu Swalihina باب في اليقين والتوكل  🔴  LIVE DARSA (29) Sh. Salim Issa
57:23

Sherehe ya Hadithi za Riyadhu Swalihina باب في اليقين والتوكل 🔴 LIVE DARSA (29) Sh. Salim Issa

Darsa ilifanyika Rajab 21, 1446 H Jumanne Januari 21, 2025 باب في اليقين والتوكل Mlango Wa Yakini Na Kutawakali قَالَ اللهُ تَعَالَى وَلَمَّا رَأَى الْمُؤْمِنُونَ الْأَحْزَابَ قَالُوا هَـٰذَا مَا وَعَدَنَا اللَّـهُ وَرَسُولُهُ وَصَدَقَ اللَّـهُ وَرَسُولُهُ ۚ وَمَا زَادَهُمْ إِلَّا إِيمَانًا وَتَسْلِيمًا "Basi Waumini walipoona makundi, walisema: Haya ndio yale Aliyotuahidi Allah na Rasuli Wake, na Amesema kweli Allah na Rasuli Wake; na haikuwazidishia isipokuwa imani na kujisalimisha." Al-Ahzaab: 22. الَّذِينَ قَالَ لَهُمُ النَّاسُ إِنَّ النَّاسَ قَدْ جَمَعُوا لَكُمْ فَاخْشَوْهُمْ فَزَادَهُمْ إِيمَانًا وَقَالُوا حَسْبُنَا اللَّـهُ وَنِعْمَ الْوَكِيلُ﴿١٧٣ "Wale walioambiwa na watu: Hakika watu wamejumuika dhidi yenu, basi waogopeni” (Haya) Yakawazidishia imani; na wakasema: “Allah Anatutosheleza, Mzuri Alioje Mdhamini Anayetegemewa kwa yote.” فَانقَلَبُوا بِنِعْمَةٍ مِّنَ اللَّـهِ وَفَضْلٍ لَّمْ يَمْسَسْهُمْ سُوءٌ وَاتَّبَعُوا رِضْوَانَ اللَّـهِ ۗ وَاللَّـهُ ذُو فَضْلٍ عَظِيمٍ ﴿١٧٤ "Basi wakarudi na neema kutoka kwa Allah na fadhila; halijawagusa ovu lolote; na wakafuatilia radhi za Allah; na Allah ni Mwenye fadhila adhimu." Aal-Imraan 3:173-174. قَالَتْ لَهُمْ رُسُلُهُمْ إِن نَّحْنُ إِلَّا بَشَرٌ مِّثْلُكُمْ وَلَـٰكِنَّ اللَّـهَ يَمُنُّ عَلَىٰ مَن يَشَاءُ مِنْ عِبَادِهِ ۖ وَمَا كَانَ لَنَا أَن نَّأْتِيَكُم بِسُلْطَانٍ إِلَّا بِإِذْنِ اللَّـهِ ۚ وَعَلَى اللَّـهِ فَلْيَتَوَكَّلِ الْمُؤْمِنُونَ ﴿١١ "Rasuli wao wakawajibu: “Sisi si chochote isipokuwa ni watu kama nyinyi, lakini Allah Anamfadhilisha Amtakaye miongoni mwa waja Wake; na haikutupasa sisi kukujieni kwa ushahidi isipokuwa kwa idhini ya Allah; na kwa Allah watawakali Waumini." Ibrahimu: 11. فَبِمَا رَحْمَةٍ مِّنَ اللَّـهِ لِنتَ لَهُمْ ۖ وَلَوْ كُنتَ فَظًّا غَلِيظَ الْقَلْبِ لَانفَضُّوا مِنْ حَوْلِكَ ۖ فَاعْفُ عَنْهُمْ وَاسْتَغْفِرْ لَهُمْ وَشَاوِرْهُمْ فِي الْأَمْرِ ۖ فَإِذَا عَزَمْتَ فَتَوَكَّلْ عَلَى اللَّـهِ ۚ إِنَّ اللَّـهَ يُحِبُّ الْمُتَوكِّلِينَ ﴿١٥٩ "Basi ni kwa rehema kutoka kwa Allah umekuwa mpole kwao (ee Muhammad صلى الله عليه وآله وسلم); na lau ungelikuwa mjeuri mwenye moyo mgumu wangelitawanyika mbali nawe (wakakukimbia); basi wasamehe na waombee maghufira na washauri katika mambo; na unapoazimia basi tawakali kwa Allah; hakika Allah Anapenda wanaotawakali." Aal-Imraan 3:159. وَيَرْزُقْهُ مِنْ حَيْثُ لَا يَحْتَسِبُ ۚ وَمَن يَتَوَكَّلْ عَلَى اللَّـهِ فَهُوَ حَسْبُهُ ۚ إِنَّ اللَّـهَ بَالِغُ أَمْرِهِ ۚ قَدْ جَعَلَ اللَّـهُ لِكُلِّ شَيْءٍ قَدْرًا﴿٣﴾ Na Atamruzuku kutoka njia ambayo hatizamii. Na yeyote anayetawakali kwa Allaah, basi Yeye Humtosheleza. Hakika Allaah Anatimiza kusudio Lake. Allaah Amejaalia kwa kila kitu makadirio. [Atw-Twalaaq: 3] إِنَّمَا الْمُؤْمِنُونَ الَّذِينَ إِذَا ذُكِرَ اللَّـهُ وَجِلَتْ قُلُوبُهُمْ وَإِذَا تُلِيَتْ عَلَيْهِمْ آيَاتُهُ زَادَتْهُمْ إِيمَانًا وَعَلَىٰ رَبِّهِمْ يَتَوَكَّلُونَ﴿٢﴾ Hakika Waumini ni wale ambao anapotajwa Allaah nyoyo zao, zinajaa khofu na wanaposomewa Aayaat Zake huwazidishia iymaan, na kwa Rabb wao wanatawakali. [Al-Anfaal: 2]
Sherehe ya Hadithi za Riyadhu Swalihina باب في اليقين والتوكل  🔴  LIVE DARSA (28) Sh. Salim Issa
01:06:02

Sherehe ya Hadithi za Riyadhu Swalihina باب في اليقين والتوكل 🔴 LIVE DARSA (28) Sh. Salim Issa

Darsa ilifanyika Rajab 20, 1446 H Jumatatu Januari 20, 2025 باب في اليقين والتوكل Mlango Wa Yakini Na Kutawakali قَالَ اللهُ تَعَالَى وَلَمَّا رَأَى الْمُؤْمِنُونَ الْأَحْزَابَ قَالُوا هَـٰذَا مَا وَعَدَنَا اللَّـهُ وَرَسُولُهُ وَصَدَقَ اللَّـهُ وَرَسُولُهُ ۚ وَمَا زَادَهُمْ إِلَّا إِيمَانًا وَتَسْلِيمًا "Basi Waumini walipoona makundi, walisema: Haya ndio yale Aliyotuahidi Allah na Rasuli Wake, na Amesema kweli Allah na Rasuli Wake; na haikuwazidishia isipokuwa imani na kujisalimisha." Al-Ahzaab: 22. الَّذِينَ قَالَ لَهُمُ النَّاسُ إِنَّ النَّاسَ قَدْ جَمَعُوا لَكُمْ فَاخْشَوْهُمْ فَزَادَهُمْ إِيمَانًا وَقَالُوا حَسْبُنَا اللَّـهُ وَنِعْمَ الْوَكِيلُ﴿١٧٣ "Wale walioambiwa na watu: Hakika watu wamejumuika dhidi yenu, basi waogopeni” (Haya) Yakawazidishia imani; na wakasema: “Allah Anatutosheleza, Mzuri Alioje Mdhamini Anayetegemewa kwa yote.” فَانقَلَبُوا بِنِعْمَةٍ مِّنَ اللَّـهِ وَفَضْلٍ لَّمْ يَمْسَسْهُمْ سُوءٌ وَاتَّبَعُوا رِضْوَانَ اللَّـهِ ۗ وَاللَّـهُ ذُو فَضْلٍ عَظِيمٍ ﴿١٧٤ "Basi wakarudi na neema kutoka kwa Allah na fadhila; halijawagusa ovu lolote; na wakafuatilia radhi za Allah; na Allah ni Mwenye fadhila adhimu." Aal-Imraan 3:173-174. قَالَتْ لَهُمْ رُسُلُهُمْ إِن نَّحْنُ إِلَّا بَشَرٌ مِّثْلُكُمْ وَلَـٰكِنَّ اللَّـهَ يَمُنُّ عَلَىٰ مَن يَشَاءُ مِنْ عِبَادِهِ ۖ وَمَا كَانَ لَنَا أَن نَّأْتِيَكُم بِسُلْطَانٍ إِلَّا بِإِذْنِ اللَّـهِ ۚ وَعَلَى اللَّـهِ فَلْيَتَوَكَّلِ الْمُؤْمِنُونَ ﴿١١ "Rasuli wao wakawajibu: “Sisi si chochote isipokuwa ni watu kama nyinyi, lakini Allah Anamfadhilisha Amtakaye miongoni mwa waja Wake; na haikutupasa sisi kukujieni kwa ushahidi isipokuwa kwa idhini ya Allah; na kwa Allah watawakali Waumini." Ibrahimu: 11. فَبِمَا رَحْمَةٍ مِّنَ اللَّـهِ لِنتَ لَهُمْ ۖ وَلَوْ كُنتَ فَظًّا غَلِيظَ الْقَلْبِ لَانفَضُّوا مِنْ حَوْلِكَ ۖ فَاعْفُ عَنْهُمْ وَاسْتَغْفِرْ لَهُمْ وَشَاوِرْهُمْ فِي الْأَمْرِ ۖ فَإِذَا عَزَمْتَ فَتَوَكَّلْ عَلَى اللَّـهِ ۚ إِنَّ اللَّـهَ يُحِبُّ الْمُتَوكِّلِينَ ﴿١٥٩ "Basi ni kwa rehema kutoka kwa Allah umekuwa mpole kwao (ee Muhammad صلى الله عليه وآله وسلم); na lau ungelikuwa mjeuri mwenye moyo mgumu wangelitawanyika mbali nawe (wakakukimbia); basi wasamehe na waombee maghufira na washauri katika mambo; na unapoazimia basi tawakali kwa Allah; hakika Allah Anapenda wanaotawakali." Aal-Imraan 3:159. وَيَرْزُقْهُ مِنْ حَيْثُ لَا يَحْتَسِبُ ۚ وَمَن يَتَوَكَّلْ عَلَى اللَّـهِ فَهُوَ حَسْبُهُ ۚ إِنَّ اللَّـهَ بَالِغُ أَمْرِهِ ۚ قَدْ جَعَلَ اللَّـهُ لِكُلِّ شَيْءٍ قَدْرًا﴿٣﴾ Na Atamruzuku kutoka njia ambayo hatizamii. Na yeyote anayetawakali kwa Allaah, basi Yeye Humtosheleza. Hakika Allaah Anatimiza kusudio Lake. Allaah Amejaalia kwa kila kitu makadirio. [Atw-Twalaaq: 3] إِنَّمَا الْمُؤْمِنُونَ الَّذِينَ إِذَا ذُكِرَ اللَّـهُ وَجِلَتْ قُلُوبُهُمْ وَإِذَا تُلِيَتْ عَلَيْهِمْ آيَاتُهُ زَادَتْهُمْ إِيمَانًا وَعَلَىٰ رَبِّهِمْ يَتَوَكَّلُونَ﴿٢﴾ Hakika Waumini ni wale ambao anapotajwa Allaah nyoyo zao, zinajaa khofu na wanaposomewa Aayaat Zake huwazidishia iymaan, na kwa Rabb wao wanatawakali. [Al-Anfaal: 2]
Sayansi ya Qur aani  علوم القرآن 🔴 LIVE | DARSA  Mdarasishaji Sh. Shabani  Ndikumana kutoka Canada
01:06:23

Sayansi ya Qur aani علوم القرآن 🔴 LIVE | DARSA Mdarasishaji Sh. Shabani Ndikumana kutoka Canada

Darsa ilifanyika Rajab 11, 1446 H Jumamosi Januari 11, 2025 UTANGULIZI Miongoni mwa fani muhimu zilizofungamana na Dini ni hii fani ya Uluumul Qur-aani [Sayansi ya Qur-aani]; fani hii kwa hakika kama inavyoashiria jina lake huwa imekusanya kila suala lenye kufungamana na Qur-aani; hivyo huwa inalizungumzia kila suala lenye kufungamana na Qur-aani kwa ufanisi kulingana na ushahidi timilifu na huliweka wazi uwazi wa mchana kuhusiana na kila kipengele chenye kufungamana au egemeshwa na suala hilo na kujibu au kuzifyeka tuhuma zote na vidanganyifu vyote dhidi ya suala hilo. Hii ni kusema kuwa fani hii ya Uluumul Qur-aani lengo lake kuu ni kutaka kumsaidia kila Muislamu mwenye uchu wa kutaka kuweza kufikia kwenye ufahamu ulio bora, sahihi na mzuri zaidi wa ujumbe uliokuja ndani ya Qur-aani kwa uchambuzi na ufafanuzi wa yale yote yenye kufungamana na Qur-aani yenyewe. Kuna mambo mengi tu yenye kufungamna na Qur-aan ambayo fani hii ya ‘Uluumul Qur-aan inayawasilisha; hivyo basi kadiri tutakavyowafikishwa tutayawasilisha kwa kumlenga zaidi kijana Muislamu mwenye elimu, lakini kwa bahati fulani kijana huyo hakuwafikishwa kupata fursa au nafasi ya kusoma -wachilia mbali kutabahari kwenye- elimu –masomo- ya Dini ya Kiislamu jambo lililopelekea kutokuwa na ufahamu wa fani nyingi zenye kuhusiana na Qur-aan, au kutokuwa na hazina itakiwayo kuhusu Qur-aan na yale yote yenye kufungamana nayo.
Contact
bottom of page