top of page
Darsa Na Mihadhara
Home
Kuhusu Sisi
Vitabu
Mwongozo wa kujiandaa na ibada ya Umrah
Aina za watu wanaokwenda kutekeleza Ibada ya Umrah
Fadhila za siku kumi za Dhul Hijjah
Itikadi Ya Maimamu Wane
Videos
Makala
Mafundisho
Aqidah
Qur'aan
Fiqh
Sira
Khutbah
Contact
About
More
Use tab to navigate through the menu items.
Log In
Darsa
na Mihadhara Online
ٱقْرَأْ بِٱسْمِ رَبِّكَ ٱلَّذِى خَلَقَ
Soma kwa ajili ya Mola wako aliyeumba
Al-Alaq 91;1
Darsa na Mihadhara
Play Video
Play Video
01:09:23
Darsa: حُقُوقُ الزَّوْجَيْنِ 🔴 LIVE | DARSA Haki za Wanandoa Wawili (III) Ust. Abu Raifah
Darsa ilifanyika Muharram 06, 1448 H Jumapili Juni 21, 2026 SEHEMU YA TATU Haki za Wanandoa Wawili حُقُوقُ الزَّوْجَيْنِ Uislamu unasisitiza umuhimu wa uhusiano madhubuti na wenye nguvu na mshikamano baina ya wanandoa wawili; kwa minajili hiyo ndio Allah Akauita ' ahadi iliyo madhubut مِّيثَاقًا غَلِيظًا ' na Akajaalia baina ya wanandoa wawili mawada -mapenzi- na rahmah. Pia Uislamu umeweka suluhisho la kivitendo lenye lengo la kuweza kuhakikisha na kudhamini uendeleaji wa maisha ya ndoa, na huku ukibughudhi aina yoyote ile itayoweza kuwa ni sababu ya kutengana kwa wanandoa wawili kwa sabili yoyote ile, na ikiwa ni pamoja na talaka, kwa kuifanya kuwa ni suluhisho la mwisho. Na ili kuhakikisha mwendelezo wa maisha ya kindoa; Allah عَزَّوَجَلَّ na Rasuli Wake صلى الله عليه وسلم wameweka haki kwa kila mwenzi na wajibu kwa kila mmoja kwa mwenzake. Kadiri wanavyotimiza wajibu wao, ndivyo maisha yao ya kindoa yatakavyonyooka na kuwa yenye mshikamano zaidi. Haki za Mume Juu ya Mke حُقُوقُ الزَّوْجِ عَلَى الزَّوْجَةِ * حق الزوج على زوجته من أعظم الحقوق بعد حق الله عليها Haki za mume juu ya mkewe ni miongoni mwa haki kubwa zaidi baada ya haki za Allah juu ya mke. * جعل الله القوامة للرجل على المرأة وفضله عليها Allah عَزَّوَجَلَّ Amejaalia usimamizi wa mwanamke kwa rajuli -mume- na Amemfadhilisha mwanamume kuliko mwanamke. *طاعة الزوج والقيام بحقوقه يقدم على طاعة الوالدين والقيام بحقوقهما Kumtii mume na kule kutekeleza haki zake kunatangulizwa -kunakadimishwa- mbele ya kuwatii wazazi wawili na kule kutekeleza -kusimamia- haki zao. * Kutimiza haki za mume ni tariki -njia- ya kutimiza haki za Allah أداء حق الزوج طريق لأداء حق الله عزوجل *Kutimiza haki za mume ni katika sababu ya kuingia Jannah أداء حق الزوج من أسباب دخول الجنة * يجب على الزوجة تلبية حق الزوج في الفراش، مالم يكن ضررتعذر به Ni wajibu juu ya mke kutimiza haki za mume ya mahusiano ya kindoa, madamu hakuna madhara ambayo kwayo atatolea udhuru. *Kubaki nyumbani kwake na asitoke bila idhini ya mumewe لزوم بيتها فلا تخرج بغير إذن زوجها *Kutofunga funga za Sunnah -za kujitolea- bila idhini ya mumewe عدم التطوع بالصوم إلا بإذن زوجها *Kujihifadhi katika hali ya kutokuweko mumewe حفظ غيبة زوجها *Kuhifadhi nafsi yake kwa kutochanganyika na wasiokuwa maharamu zake bila ya haja, na bila ya idhini ya mumewe. حفظ نفسها عن مخالطة الأجانب لغير حاجة، وبإذن زوجها
Play Video
Play Video
01:39:14
Darsa: Ujenzi wa familia na Jamii Imara🔴 LIVE DARSA: Kujitambua wewe mwenyewe (Self-Awareness)
Darsa ilifanyika Muharramu 06, 14487 H Jumapili Juni 21, 2026 MSINGI WA KWANZA Kujitambua -kujielewa- wewe mwenyewe (Self-Awareness) الوعي الذاتي Kujitambua wewe mwenyewe ni mchakato wa kujitambua kimawazo, kihisia, na kimotisha. Ni uwezo wa kujitazama ndani na kujitafakari matendo na tabia zako kwa njia muwafaka. Kujitambua wewe mwenyewe ni: Kujichunguza na kuchanganua tabia zako. Kujitambua wewe mwenyewe kimawazo, kihisia, na kivitendo. Aina za kujitambua -kujielewa- wewe mwenyewe (Self-Awareness) الوعي الذاتي Kuko aina mbili: Ya Kwanza: Kujitambua kwa ndani ni: uwezo wa kuelewa na kufasiri hisia zako za ndani Ya Pili: Kujitambua kwa nje ni: uwezo wa kuelewa jinsi wengine wanavyokuona. Umuhimu wa kujitambua -kujielewa- wewe mwenyewe (Self-Awareness) الوعي الذاتي * Kuboresha mahusiano ya kibinafsi * Kufanya maamuzi bora. * Udhibiti wa hisia. Dalili za kukosa kuweza kufikia kujitambua Yenye kuweza kusaidia katika kufikia kujitambua
Play Video
Play Video
59:03
Darsa: صحيح البخاري 🔴 LIVE | DARSA (XII) رَاوِي الحَدِيثِ : مالك بن أنس Ust Abu Raifah
Darsa ilifanyika Muharram 05, 1448 H Jumamosi Juni 20, 2026 باب كَيْفَ كَانَ بَدْءُ الْوَحْىِ إِلَى رَسُولِ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم Mlango: Namna ya Wahyi Ulivyoanza kwa Rasuli wa Allah (صلى الله عليه وآله وسلم) HADITHI YA PILI حَدَّثَنَا عَبْدُ اللَّهِ بْنُ يُوسُفَ، قَالَ أَخْبَرَنَا مَالِكٌ، عَنْ هِشَامِ بْنِ عُرْوَةَ، عَنْ أَبِيهِ، عَنْ عَائِشَةَ أُمِّ الْمُؤْمِنِينَ ـ رضى الله عنها ـ أَنَّ الْحَارِثَ بْنَ هِشَامٍ ـ رضى الله عنه ـ سَأَلَ رَسُولَ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم فَقَالَ يَا رَسُولَ اللَّهِ كَيْفَ يَأْتِيكَ الْوَحْىُ فَقَالَ رَسُولُ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم " أَحْيَانًا يَأْتِينِي مِثْلَ صَلْصَلَةِ الْجَرَسِ ـ وَهُوَ أَشَدُّهُ عَلَىَّ ـ فَيُفْصَمُ عَنِّي وَقَدْ وَعَيْتُ عَنْهُ مَا قَال وَأَحْيَانًا يَتَمَثَّلُ لِيَ الْمَلَكُ رَجُلاً فَيُكَلِّمُنِي فَأَعِي مَا يَقُولُ ". قَالَتْ عَائِشَةُ رضى الله عنها وَلَقَدْ رَأَيْتُهُ يَنْزِلُ عَلَيْهِ الْوَحْىُ فِي الْيَوْمِ الشَّدِيدِ الْبَرْدِ، فَيَفْصِمُ عَنْهُ وَإِنَّ جَبِينَهُ لَيَتَفَصَّدُ عَرَقًا. Ametuhadithia Abdullahi bin Yusuf, amesema: ametupasha habari Malik kutokana na Hishami bin 'Urwah kutokana na baba ake, kutokana na Aishah Mama wa Waumini (رضي الله عنها) kwamba: Al-Harith bin Hisham (رضي الله عنه) alimuuliza Rasuli wa Allah (صلى الله عليه وآله وسلم) kwa kusema: 'Ewe Rasuli wa Allah! Vipi unakujia Wahyi?” Rasuli wa Allah (صلى الله عليه وآله وسلم) akamjibu kwa kusema: “Wakati mwengine unanijia kama sauti ya kengele, aina hii ya Wahyi ni shadidi -ngumu- zaidi kwangu kuliko zote na kisha hali hiyo hunipitia baada ya kuwa nimeshafahamu kile nilichofunuliwa; wakati mwingine Malaika huja katika umbile la rajuli, hunisemresha na kuyaelewa anayosema.” Aaishah (رضي الله عنها) amesema: 'Kwa hakika nilimwona (Rasuli wa Allah صلى الله عليه وآله وسلم) akiletewa Wahyi siku ya baridi kali na akaona jasho likimdondoka usoni (baada ya kumalizika Wahyi). Wapokezi wa Hadithi hii رُوَاةُ هَذَا الحَدِيثِ 1. Abdullahi bin Yusuf (Rahimahullahu) عَبْدُ اللَّهِ بْنُ يُوسُفَ 2. Malik bin Anas bin Malik (Rahimahullahu) مالك بن أنس بن مالك 3. Hishami bin 'Urwah (Rahimahullahu) هِشَامِ بْنِ عُرْوَةَ 4. 'Urwah bin Az Zubair (Rahimahullahu) عُرْوَةَ بنِ الزُّبَيْرِ بنِ العَوَّامِ 5. Aishah Ummul Muminina (Allah Awe Radhi Nae) عَائِشَةَ أُمِّ الْمُؤْمِنِينَ ـ رضى الله عنها Msimulizi wa Hadithi: Malik bin Anas bin Malik مالك بن أنس بن مالك : الاسم مالك بن أنس بن مالك (مالك بن أنس بن مالك بن أبي عامر بن عمرو بن الحارث بن غيمان بن خثيل بن عمرو بن الحارث) الكنية: أبو عبد الله النسب: الأصبحي، الحميري، المدني، التيمي، اليمني بلد الإقامة: المدينة علاقات الراوي: حليف عثمان بن عبيد الله القرشي، وكاتبه عيسى بن كنانة وأمه العالية بنت شريك بن عبد الرحمن بن شريك الأزدية، وأخوه النضر، وعمه أبو سهيل نافع بن مالك تاريخ الميلاد: 92 هـ، أو 93، أو 94 هـ، أو 95 هـ تاريخ الوفاة: 178 هـ، أو 179 هـ بلد الميلاد: ذي المروة بلد الوفاة: المدينة بلد الرحلة: مكة، مصر طبقة رواة التقريب: السابعة الرتبة عند ابن حجر: الفقيه، إمام دار الهجرة، رأس المتقنين، وكبير المتثبتين الرتبة عند الذهبي: الإمام
Play Video
Play Video
48:37
DARSA: مَوْسُوعَة عُلُومِ الحَدِيْثِ وفُنُونِه 🔴 LIVE| DARSA: Aahadu الآحَادُ Ust Abu Raifah
Darsa ilifanyika Muharramu 04, 1448 H Ijumaa Juni 19, 2026 Aahadu الآحَادُ Aahadu الآحاد : ni Hadithi -habari- ambayo haijakusanya sharti za (Hadithi) mutawaatir. Aahadu الآحَادُ inajumuisha namna NNE: 1. Mash -huur مشهور 2. Gharib غَرِيب 3. Far-du فَرْدُ 4. Aziz عزيز Hadithi za Aahadu أحاديثُ الآحَاد Hadithi za Watatu الأَحَاديثُ الثُّلَاثِيَّةُ Hadithi za Watatu katika Vitabu vya Sunnah vilivyo mashuhuri الثُّلَاثِيَّات في كُتُبِ الُّسُنَّةُِ المَشْهٌورَةِ Hadithi zake hazishabihiani na Hadithi za watu wanaoaminika أَحَاديثُهُ لَا تٌشْبِهُ أَحَادِيثَ الثِّقَاتِ Hadithi zake hazishabihiani na Hadithi za fulani أَحَاديثُهُ لَا تٌشْبِهُ أَحَادِيثَ فُلَانٍ Hadithi zilizo mashuhuri kwenye ndimi الأَحَاديثُ المَشْتَهِوةُ عَلى الأَلْسِنَةِ اِحْتَجَّ بِهِ البُخَارِيُّ وَمُسْلِمُ
Play Video
Play Video
01:01:56
Darsa: نَوَاقِضُ لَا إِلَهَ إِلاَّ اللهِ 🔴LIVE DARSA:Utangulizi (IV) تَمْهِيد Vitenguzi vya Uislamu
Darsa ilifanyika Muharramu 04, 1448 H Ijumaa Juni 19, 2026 SEHEMU YA TATU Utangulizi تَمْهِيد Vitenguzi vya kalimat -neno laTawhidi نَوَاقِضُ لَا إِلَهَ إِلاَّ اللهِ Vitenguzi vya Tawhidi نَوَاقِضُ التَّوْحِيد Vitenguzi vya Uislamu نَوَاقِضُ الِإسْلاَم Masaaili yenye kufungamana na Vitenguzi vya Uislamu مَسَائِلَُ المُتَعَلِّقَةِ بِنَوَاقِضِ لاَ إِلَهَ إِلَا اللهُ Mas-ala ya Kwanza: :المَسْأَلَةُ الأُوْلَى هذه النَّوَاقِضُ أَغْلَبُهَا فِي بَابِ الأُلُهِيَّةِ، وَمِنْهَا نَوَاقِضٌ فِي بَابِ الُّبُوبِيَّةِ، وَمِنْهَا نَوَاقِضٌ فِي بَابِ الرِّسَالَةِ Vitenguzi hivi aghlabu yake vinahusaina na mlango- wa Al Uluhiyyah, na miongoni mwake viko vyenye kuhusiana na mlango wa Ar Raububiyya, na miongoni mwake viko vyenye kuhusiana na mlango wa Ar Risahah (Ujumbe) فهذه النَّوَاقِضُ حَقِيْقَتُهَا تَرْجِعُ إِلَى نَقْضِ الشَّهَادَتين، أَوْ أَحْدِهِمَا Kiini -uhakika- wa vitenguzi hivi unarejea kwenye kutengua Shahada mbili, au moja kati ya hizo. Mas-ala ya Pili: المَسْأَلَةُ الثّانِيَة أََنَّ التَّكْفِيرَ حُكْمٌ شَرْعِيٌ مَرَدُّهُ إِلَى اللهِ ورَسُولِهِ صلى الله عليه وسلم Kwamba suala la ukufurishaji -kumtangaza mtu kuwa kafiri- ni hukumu ya Kisheria ambayo mamlaka yake yako kwa Allah na Rasuli Wake صلى الله عليه وسلم. Mas-ala ya Tatu: المَسْأَلَةُ الثّالِثة لَا يُمْكِنٌ أَنْ تَفْهَمَ نَوَاقِضَ الإِيْمَانِ إِلَّا بِفَهْمِكَ للإِيْمَانِ عِنْدَ أَهْلِ السُّنَّةِ Hakuna uwezekano wa kuweza kufikia kuelewa -kufahamu- vitenguzi vya Imani isipokuwa kwa kupitia ufahamu wako wa Imani kwa mujibu wa Ahali wa Sunnah. Mas-ala ya Nne: المَسْأَلَةُ الرَّابِعَة حَصْرُهَا فِي العَشْرَةِ مُشْكِلٌ، إِذْ هُنَاكَ نَوَاقِضٌ أُخْرَى مُجْمَعٌ عَلَيْهَا لَمْ يَذْكُرُهَا المُصَنِّفُ Kuviwekea kikomo hadi kumi ni mushkili -mushkeli-, kwani kuna vitenguzi vyengine ambavyo kuna makubaliano (baina ya wanazuoni) ambayo mwandishi hakuvitaja. Mas-ala ya Tano: المَسْأَلَةُ الخَامِسَة عَقَدَ الفُقَهَاءُ -رَحِمَهُمُ اللهُ- بَابًَا سَمَّوْهُ: بَابُ حُكْم المُرْتَد: وَهُوَ الَّذِي يُكَفُّرُ بَعْدَ إِسْلَامِهِ Mafuqahaa (yaani:Wanazuoni wa Fiqh -Sharia-) -رَحِمَهُمُ اللهُ- wameweka mlango waliouita: mlango wa hukumu ya mur-tadi (aliyeritadi):Ambae ndie anaekufurishwa baada ya (kuacha) Uislamu wake.
Play Video
Play Video
01:09:57
Darsa: المنظومة الحائيةِ 🔴LIVE |DARSA (I) َلَيْسَ بِمَوْلُوْدٍ، وَلَيْسَ بِوَالِدٍ Ust Abu Raifah
Darsa ilifanyika Muharramu 04, 1448 H Ijumaa Juni 19, 2026 شرح المنظومة الحائية في عقيدة أَهْلِ السُّنَّةِ وَالجَمَاعَةِ لابن أبي داود لابن أبي داود Sharhu ya shairi (utenzi wa) Haaiyyah kuhusiana na Itikadi/Aqidah ya Ahali wa Sunnah na Jamaa’h وَلَيْسَ بِمَوْلُوْدٍ، وَلَيْسَ بِوَالِدٍ Na wala Hakuzaliwa na wala Hakuzaa وَلَيْسَ لَهُ شِبْهٌ، تَعَالَى المُسَبَّحُ Na wala Hana shabihi yeyote yule, Ametukuka Mwenye Kustahiki Kusabihiwa (Kutukuzwa)
Play Video
Play Video
01:04:06
Darsa ya Tafsiri: شرح المصباح المنير في تهذيب تفسير ابن الكثير 🔴LIVE Aayah 177 (II) Ust Abu Raifah
Darsa ilifanyika Muharramu 03, 1448 H Alhamisi Juni 18, 2026 SEHEMU YA PILI Tafsiri/Tarjama ya Suratul Baqarah تفسير سورة البقرة لَّيْسَ الْبِرَّ أَن تُوَلُّوا وُجُوهَكُمْ قِبَلَ الْمَشْرِقِ وَالْمَغْرِبِ وَلَـٰكِنَّ الْبِرَّ مَنْ آمَنَ بِاللَّـهِ وَالْيَوْمِ الْآخِرِ وَالْمَلَائِكَةِ وَالْكِتَابِ وَالنَّبِيِّينَ وَآتَى الْمَالَ عَلَىٰ حُبِّهِ ذَوِي الْقُرْبَىٰ وَالْيَتَامَىٰ وَالْمَسَاكِينَ وَابْنَ السَّبِيلِ وَالسَّائِلِينَ وَفِي الرِّقَابِ وَأَقَامَ الصَّلَاةَ وَآتَى الزَّكَاةَ ﴾الْمُوفُونَ بِعَهْدِهِمْ إِذَا عَاهَدُوا ۖ وَالصَّابِرِينَ فِي الْبَأْسَاءِ وَالضَّرَّاءِ وَحِينَ الْبَأْسِ ۗ أُولَـٰئِكَ الَّذِينَ صَدَقُوا ۖ وَأُولَـٰئِكَ هُمُ الْمُتَّقُونَ ﴿١٧٧ "Sio wema kuwa mnaelekeza nyuso zenu upande wa Mashariki na Magharibi, walakini wema ni mwenye kuamini Allah na Siku ya Mwisho na Malaika na Kitabu na Manabii, na akawapa mali juu ya kuipenda kwake jamaa wa karibu na mayatima na masikini na msafiri na waombao na katika kukomboa watumwa, na akasimamisha Sala na akatoa Zaka, na watimizao ahadi zao wanapoahidi, na wenye subira katika dhiki za ufukara na maafa ya magonjwa na njaa na katika vita; hao ndio waliosadikisha na hao ndio wenye taqwa." [Al Baqarah 2:177]
Play Video
Play Video
01:05:16
Darsa: سنن النسائي 🔴 LIVE | DARSA (IV) رَاوِي الحَدِيثِ : ابن راهويه Ust Abu Raifah
Darsa ilifanyika Muharramu 02, 1448 H Jumatano Juni 17, 2026 HADITHI YA PILI Sunanun Nasaai سنن النسائي Kitabu cha Twahara كتاب الطهارة Mlango wa Kupiga Mswaki wakati anapoamka Usiku باب السِّوَاكِ إِذَا قَامَ مِنَ اللَّيْلِ :أَخْبَرَنَا إِسْحَاقُ بْنُ إِبْرَاهِيمَ، وَقُتَيْبَةُ بْنُ سَعِيدٍ، عَنْ جَرِيرٍ، عَنْ مَنْصُورٍ، عَنْ أَبِي وَائِلٍ، عَنْ حُذَيْفَةَ رضي الله عنه قَالَ كَانَ رَسُولُ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم إِذَا قَامَ مِنَ اللَّيْلِ يَشُوصُ فَاهُ بِالسِّوَاكِ . Ametupashahabari Is-haq bin Ibrahimu, na Qutaybah bin Said kutokana na Jariri kutokana na Mansour kutokana na Abu Waail kutokana na Hudhaifah رضي الله عنه kuwa amesema: 'Alikuwa Rasuli wa Allah صلى الله عليه وسلم anapoamka usiku (alikuwa) akisafisha kinywa chake kwa mswaki.' Wapokezi wa Hadithi hii رُوَاةُ هَذَا الحَدِيثِ 1.Ishaq bin Rahwayh/Ishaaq ibn Raahawayh (Rahimahullahu) إِسْحَاقُ بْنُ إِبْرَاهِيمَ ابن راهويه 2. Qutaybah bin Said (Rahimahullahu) قُتَيْبَةُ بْنُ سَعِيدٍ 3. Jariri (Rahimahullahu) جَرِيرٍ 4. Mansour (Rahimahullahu) مَنْصُورٍ 5. Abu Waail (Rahimahullahu) أَبُووَائِلٍ 6. Hudhaifah (Allah Awe Radhi Nae) حُذَيْفَةَ رضي الله عنه Msimulizi wa Hadithi:Ishaq bin Rahwayh/Ishaaq ibn Raahawayh (Rahimahullahu) ابن راهويه لاسم: إسحاق بن إبراهيم بن مخلد بن إبراهيم بن مطر (إسحاق بن إبراهيم بن مخلد بن إبراهيم بن مطر، وقال ابن حزم: ابن عبد الله بن مطر بن عبيد الله بن غالب بن الوارث بن عبيد الله بن عطية بن مرة بن كعب بن همام بن أسد بن مرة بن عمرو بن حنظلة بن مالك بن زيد مناة بن تميم) الشهرة: ابن راهويه اللقب: الحافظ الكنية: أبو يعقوب، أبو محمد النسب: الحافظ، الحنظلي، المروزي بلد الإقامة: نيسابور علاقات الراوي: ابنه: محمد بن إسحاق، وهو قرين أحمد بن حنبل تاريخ الميلاد: قال محمد بن موسى الباشاني: 161 هـ، وقال موسى بن هارون: 166 هـ فيما أرى تاريخ الوفاة: 237 هـ، أو 238 هـ بلد الوفاة: نيسابور بلد الرحلة: العراق، الحجاز، اليمن، الشام، خراسان تاريخ الرحلة: خرج إلى العراق 184 هـ الرتبة عند ابن حجر: ثقة حافظ مجتهد الرتبة عند الذهبي: الإمام، عالم خراسان
Contact
bottom of page