top of page
Darsa Na Mihadhara
Home
Kuhusu Sisi
Vitabu
Mwongozo wa kujiandaa na ibada ya Umrah
Aina za watu wanaokwenda kutekeleza Ibada ya Umrah
Fadhila za siku kumi za Dhul Hijjah
Itikadi Ya Maimamu Wane
Videos
Makala
Mafundisho
Aqidah
Qur'aan
Fiqh
Sira
Khutbah
Contact
About
More
Use tab to navigate through the menu items.
Darsa
na Mihadhara Online
ٱقْرَأْ بِٱسْمِ رَبِّكَ ٱلَّذِى خَلَقَ
Soma kwa ajili ya Mola wako aliyeumba
Al-Alaq 91;1
Darsa na Mihadhara
Play Video
Play Video
01:02:28
Majilisi: عشر ذي الحجة 🔴LIVE DARSA فَضَائِلُ يَوْمِ عَرَفَة Ust Abu Raifah
Majilisi ilifanyika Dhul Hijjah 09, 1447H Jumanne Mei 26, 2026 Fadhila za Siku a Arafah فَضَائِلُ يَوْمِ عَرَفَة Kwa hakika utekelezaji wa ibada ya Hija kwenye Baiti ya Allah ni nguzo katika nguzo tano za Kiislamu, nayo ni wajibu juu ya kila Muislamu aliyebaleghe mwenye akili timamu na mwenye uwezo , kama Alivyosema Allah تَبَارَكَ وَتَعَالَى; ﴾لِلَّـهِ عَلَى النَّاسِ حِجُّ الْبَيْتِ مَنِ اسْتَطَاعَ إِلَيْهِ سَبِيلًا ۚ وَمَن كَفَرَ فَإِنَّ اللَّـهَ غَنِيٌّ عَنِ الْعَالَمِينَ ﴿٩٧ "Na kwa ajili ya Allah imewajibika juu ya watu kutekeleze (ibada ya) Haji katika nyumba hiyo (Ka’bah) kwa mwenye uwezo; na (yeyote yule) atakayekanusha (hilo), basi hakika Allah ni Ghaniyun –Mkwasi- kwa walimwengu." [Aal Imran 3:97.] Na kumethibiti kwa ajili ya ibada hii adhimu fadhila nyingi; miongoni mwake: عَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ ـ رضى الله عنه ـ أَنَّ رَسُولَ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم قَالَ " الْعُمْرَةُ إِلَى الْعُمْرَةِ كَفَّارَةٌ لِمَا بَيْنَهُمَا، وَالْحَجُّ الْمَبْرُورُ لَيْسَ لَهُ جَزَاءٌ إِلاَّ الْجَنَّةُ ". Kutokana na Abu Hurayrah رضى الله عنه kwamba Rasuli wa Alla صلى الله عليه وسلم amesema: "Umrah hadi Umrah (nyengine) ni kafara (inafuta dhambi) kwa yale yaliyokuwa baina yake (yaani baina Umrah na Umrah nyengine); na Hija Mab-ruru (ni ile Hija iliyotakabaliwa kwa kutimia hukumu zake, na kwa kutochanganyika na dhambi yoyote ile) huwa haina jaza –malipo- isipokuwa Jannah.” Na pia kauli ya Nabii صلى الله عليه وسلم: عَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ ـ رضى الله عنه ـ قَالَ قَالَ رَسُولُ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم " مَنْ حَجَّ هَذَا الْبَيْتَ، فَلَمْ يَرْفُثْ وَلَمْ يَفْسُقْ، رَجَعَ كَمَا وَلَدَتْهُ أُمُّهُ ". Amesimulia Abu Hurayrah رضى الله عنه kuwa Rasuli wa Allah صلى الله عليه وسلم amesema: “Yeyote yule atakaetekeleza (ibada ya) Hija (kwenye) hii Baiti (yaani: Al Ka'bah), akawa hakumkaribia (mkewe) kwa ajili ya kufanya tendo la jimai (au kwa yale yote yenye kueleweka kuwa ni vitangulizi vya tendo la jimai; kama kubusiana na mfano wake, na vitangulizi vya kauli; kama vile maneno yenye kufungamana na jimai na matamanio, na pia inajumuisha maneno machafu) na wala hakufanya ufasiki, basi atarudi (kwao baada ya kutekeleza ibada ya Haji) hali ya kuwa (hana dhambi yoyote ile; yaani: yamefutwa) kama alivyozaliwa na mama ake.” Kisha Allah تَعَالَى Akajaalia utekelezaji wa nguzo hii (yaani: ibada ya Hija) uwe ndani ya masiku kumi bora zaidi katika masiku ya mwaka kama alivyosema Rasuli wa Allah صلى الله عليه وسلم . عن ابن عمر رضي الله عنهما عن النبي صلى الله عليه وسلم قال” ما من أيام أَعْظَمُ عند الله ولا أَحَبُّ إليه العمل فيهن من هذه الأيام العشر…". Kutokana na Ibn Omar رضي الله عنهما kutokana na Nabiiصلى الله عليه وسلم kuwa amesema: "Hakuna siku zilizo adhimu zaidi mbele ya Allah na wala hakuna amali inayopendeza mno (kufanywa) ndani yake kuliko (ile amali inayofanywa ndani ya) masiku kumi haya (yaani: siku kumi za mwanzo za Shahari ya Dhul Hijjah)…...” Kisha Allah Ta'alaa Akaichagua Yawmu Arafah miongoni mwa masiku kumi haya (yaani: siku kumi za mwanzo za Shahari ya Dhul Hijjah) iwe ni yenye fadhila nyingi, na (pia) Akajaalia kusimama ndani yake (yaani: kisimamo cha Yawmu Arafah) kiwe ndio nguzo ya Hija adhimu; kama alivyosema Nabii صلى الله عليه وسلم : عَنْ عَبْدِ الرَّحْمَنِ بْنِ يَعْمَرَ رضي الله عنه قَالَ شَهِدْتُ رَسُولَ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم فَأَتَاهُ نَاسٌ فَسَأَلُوهُ عَنِ الْحَجِّ فَقَالَ رَسُولُ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم " الْحَجُّ عَرَفَةُ فَمَنْ أَدْرَكَ لَيْلَةَ عَرَفَةَ قَبْلَ طُلُوعِ الْفَجْرِ مِنْ لَيْلَةِ جَمْعٍ فَقَدْ تَمَّ حَجُّهُ " Kutokana na Abdur Rahman bin Ya‘amarرضي الله عنه amesema kuwa nilimshuhudia (yaani: nilimuona) Rasuli wa Allah صلى الله عليه وسلم akisema kuwa: "Hija ni (kusimama kisimamo cha Yawmu) Arafah; hivyo basi yeyote yule atakayeweza kuudiriki usiku wa (Yawmu) Arafah kabla ya kuchomoza Alfajiri ya kufikia usiku wa Jam (Muzdalifa), basi kwa hakika Hija yake itakuwa imetimilia (yaani: ameipata Hija).” * Nini sababu ya kuitwa kwa jina hili ما سبب تسميته بهذا الاسم؟ * Siku Bora Kabisa ya Mwaka * Siku ambayo Allah تَعَالَى Alikamilisha Dini na Akatimiza Kwayo Neema * Siku ambayo Kwayo Wengi Huachwa Huru na Moto *Siku Ambayo kwayo Rabi Huwa Karibu na Waja Wake *Siku Ambayo Kwayo Allah Hujigamba na Ahali wa Arafah kwa Malaika *Siku Ambayo Kwayo Allah Huitika Dua ya Ahali wa Arafah *Siku Ambayo Kwayo shetani huwa hakiri zaidi
Play Video
Play Video
01:00:37
Darsa: سنن أبي داود 🔴 LIVE |DARSA (II) رَاوِي الحَدِيثِ : أَبُو مُوسى الأَشْعَرِيَّ Ust Abu Raifah
Darsa ilifanyika Dhul Hijjah 08, 1447H Jumatatu Mei 25, 2026 HADITHI YA TATU Sunan Abu Daud سنن أبي داود Kitabu cha Twahara كتاب الطهارة Mlango wa Rajuli kuchagua pahala pazuri pa kukojoa باب الرَّجُلِ يَتَبَوَّأُ لِبَوْلِهِ حَدَّثَنَا مُوسَى بْنُ إِسْمَاعِيلَ، حَدَّثَنَا حَمَّادٌ، أَخْبَرَنَا أَبُو التَّيَّاحِ، حَدَّثَنِي شَيْخٌ، قَالَ لَمَّا قَدِمَ عَبْدُ اللَّهِ بْنُ عَبَّاسٍ الْبَصْرَةَ فَكَانَ يُحَدَّثُ عَنْ أَبِي مُوسَى، فَكَتَبَ عَبْدُ اللَّهِ إِلَى أَبِي مُوسَى يَسْأَلُهُ عَنْ أَشْيَاءَ، فَكَتَبَ إِلَيْهِ أَبُو مُوسَى إِنِّي كُنْتُ مَعَ رَسُولِ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم ذَاتَ يَوْمٍ فَأَرَادَ أَنْ يَبُولَ فَأَتَى دَمِثًا فِي أَصْلِ جِدَارٍ فَبَالَ ثُمَّ قَالَ صلى الله عليه وسلم " إِذَا أَرَادَ أَحَدُكُمْ أَنْ يَبُولَ فَلْيَرْتَدْ لِبَوْلِهِ مَوْضِعًا " . Wapokezi wa Hadithi hii رُوَاةُ هَذَا الحَدِيثِ 1. Musa bin Ismail (Rahimahullahu) مُوسَى بْنُ إِسْمَاعِيلَ 2. Hammad (Rahimahullahu) حَمَّادٌ 3. Abut Tiyyah (Rahimahullahu) أَبُو التَّيَّاحِ 4. Shaikh (Rahimahullahu) شَيْخٌ 5. Abu Musa (Allah Awe Radhi Nae) أَبُو مُوسَى Msimulizi wa Hadithi: Abu Musa Al Ash-'ariy رَاوِي الحَدِيثِ : أَبُو مُوسى الأَشْعَرِيَّ رَضِيَ اللهُ عَنْهُ الاسم: عبد الله بن قيس أبو موسى الأشعري (عبد الله بن قيس بن سليم بن حضار بن حرب بن عامر بن عنز بن بكر بن عامر بن عذر بن وائل بن ناجية بن الجماهر بن الأشعر) الشهرة: عبد الله، أبو موسى الكنية: أبو موسى النسب: الأشعري, المدني، التميمي، المقرئ، اليماني بلد الإقامة: مكة، الحبشة، زبيد، عدن، البصرة، الكوفة، المدينة علاقات الراوي: أمه ظبية بنت وهب من عك، وأولاده: موسى، وإبراهيم، وأبو بردة، وأبو بكر، وأبو بردة، وحالف سعيد بن العاص، وإخوته: أبو عامر وأبو بردة وأبو رهم بنو قيس، واستعمله النبي صلى الله عليه وسلم على بعض اليمن كزبيد وعدن وأعمالهما، واستعمله عمر على البصرة والكوفة، واستعمله عثمان على الكوفة، وامرأته أم عبد الله تاريخ الوفاة: 42 هـ، أو 44 هـ، أو 50 هـ، أو 52 هـ، أو 53 هـ، ويقال 49 هـ، ويقال 51 هـ بلد الوفاة: بالكوفة أو بمكة، أو بخلف، وقيل: بالثوبة على ميلين من الكوفة بلد الرحلة: الحبشة، مكة، دمشق، المدينة طبقة رواة التقريب: صحابي مشهور الرتبة عند ابن حجر: صحابي مشهور الرتبة عند الذهبي: صحابى
Play Video
Play Video
01:07:48
Darsa ya Tafsiri: شرح المصباح المنير في تهذيب تفسير ابن الكثير 🔴LIVE Aayah 170 -173 Ust Abu Raifah
Darsa ilifanyika Dhul Hijjah 08, 1447H Jumatatu Mei 25, 2026 Tafsiri/Tarjama ya Suratul Baqarah تفسير سورة البقرة Mshirikina ni Mwigaji اَلْمُشْرِكُ مُقَلِّدٌ ﴾وَإِذَا قِيلَ لَهُمُ اتَّبِعُوا مَا أَنزَلَ اللَّـهُ قَالُوا بَلْ نَتَّبِعُ مَا أَلْفَيْنَا عَلَيْهِ آبَاءَنَا ۗ أَوَلَوْ كَانَ آبَاؤُهُمْ لَا يَعْقِلُونَ شَيْئًا وَلَا يَهْتَدُونَ ﴿١٧٠ "Na wanapoambiwa: Fuateni Aliyoyateremsha Allaah husema: Bali tunafuata tuliyowakuta nayo baba zetu. Je, japokuwa baba zao walikuwa hawaelewi kitu chochote na wala hawakuongoka? Mfano wa mshirikina ni kama mfano wa hayawani مَثَلُ اَلْمُشْرِكِ مَثَلُ الحَيَوَانِ ﴾وَمَثَلُ الَّذِينَ كَفَرُوا كَمَثَلِ الَّذِي يَنْعِقُ بِمَا لَا يَسْمَعُ إِلَّا دُعَاءً وَنِدَاءً ۚ صُمٌّ بُكْمٌ عُمْيٌ فَهُمْ لَا يَعْقِلُونَ ﴿١٧١ "Na mfano wa wale waliokufuru ni kama mfano wa yule ambaye anapiga kelele kwa ambaye hasikii ila sauti na mwito. Viziwi, mabubu, vipofu kwa hiyo hawatii akilini." Amri ya kula vitu vizuri na ubainifu wa kile kilichoharamishwa الأَمْرُ بِأَكْلِ الطَّيِّبَاتِ وَبَيَانُ اَلْمُحَرَّمَاتِ ﴾يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا كُلُوا مِن طَيِّبَاتِ مَا رَزَقْنَاكُمْ وَاشْكُرُوا لِلَّـهِ إِن كُنتُمْ إِيَّاهُ تَعْبُدُونَ ﴿١٧٢ "Enyi walioamini! Kuleni vizuri Tulivyokuruzukuni[56] na mshukuruni Allaah mkiwa mnamwabudu Yeye Pekee." Ruhusa ya kula vilivyoharamishwa kwa mwenye dharura إِبَاحَةُ اَلحَرَامِ لِلْمُضْطَرَّ ﴾إِنَّمَا حَرَّمَ عَلَيْكُمُ الْمَيْتَةَ وَالدَّمَ وَلَحْمَ الْخِنزِيرِ وَمَا أُهِلَّ بِهِ لِغَيْرِ اللَّـهِ ۖ فَمَنِ اضْطُرَّ غَيْرَ بَاغٍ وَلَا عَادٍ فَلَا إِثْمَ عَلَيْهِ ۚ إِنَّ اللَّـهَ غَفُورٌ رَّحِيمٌ ﴿١٧٣ "Hakika Allah Amekuharamishieni mzoga na damu na nyama ya nguruwe na kilichotajiwa asiyekuwa Allah wakati wa kuchinjwa; walakini aliyefikwa na dharura (akala) bila ya kutamani wala kupindukia mipaka, basi si dhambi juu yake; hakika Allah ni Ghafurur Rahimu"
Play Video
Play Video
45:21
Darsa: صحيح مسلم 🔴LIVE |DARSA (II) رَاوِي الحَدِيثِ: يَحْيَى بْنُ سَعِيدٍ الْقَطَّانُ Ust Abu Raifah
Majilisi ilifanyika Dhul Hijjah 07, 1447H Jumapili Mei 24, 2026 Kitabu cha Imani كتاب الإيمان باب بيان الإيمان والإسلام والإحسان ووجوب الإيمان بإثبات قدر الله سبحانه وتعالى وبيان الدليل على التبري ممن لا يؤمن بالقدر وإغلاظ القول في حقه SANAD YA TATU YA HADITHI YA Jibril عليه السلام وَحَدَّثَنِي مُحَمَّدُ بْنُ حَاتِمٍ، حَدَّثَنَا يَحْيَى بْنُ سَعِيدٍ الْقَطَّانُ، حَدَّثَنَا عُثْمَانُ بْنُ غِيَاثٍ، حَدَّثَنَا عَبْدُ اللَّهِ بْنُ بُرَيْدَةَ عَنْ يَحْيَى بْنِ يَعْمَرَ، وَحُمَيْدِ بْنِ عَبْدِ الرَّحْمَنِ، قَالاَ لَقِينَا عَبْدَ اللَّهِ بْنَ عُمَرَ فَذَكَرْنَا الْقَدَرَ وَمَا يَقُولُونَ فِيهِ . فَاقْتَصَّ الْحَدِيثَ كَنَحْوِ حَدِيثِهِمْ عَنْ عُمَرَ - رضى الله عنه - عَنِ النَّبِيِّ صلى الله عليه وسلم وَفِيهِ شَىْءٌ مِنْ زِيَادَةٍ وَقَدْ نَقَصَ مِنْهُ شَيْئًا . Wapokezi wa Hadithi hii رُوَاةُ هَذَا الحَدِيثِ 1.Ishaq bin Rahwayh/Ishaaq ibn Raahawayh (Rahimahullahu) إِسْحَاقُ بْنُ إِبْرَاهِيمَ ابن راهويه 2. Qutaybah bin Said (Rahimahullahu) مُحَمَّدُ بْنُ حَاتِمٍ 3. Jariri (Rahimahullahu) يَحْيَى بْنُ سَعِيدٍ الْقَطَّانُ 4. Mansour (Rahimahullahu) عُثْمَانُ بْنُ غِيَاثٍ 5. Abu Waail (Rahimahullahu) عَبْدُ اللَّهِ بْنُ بُرَيْدَةَ 6, Yahya bin Ya;mar (Rahimahullau) يَحْيَى بْنِ يَعْمَرَ 7. Humaydi bin Abdur Rahman (Rahimahullahu) حُمَيْدِ بْنِ عَبْدِ الرَّحْمَنِ 8. Abdullahi bin Omar (Allah Awe Radhi Nao) عَبْدَ اللَّهِ بْنَ عُمَرَ 6. Omar binil Khatwaab (Allah Awe Radhi Nae) عُمَرَ - رضى الله عنه Msimulizi wa Hadithi: Yahya bin Said Al Qatwani رَاوِي الحَدِيثِ: يَحْيَى بْنُ سَعِيدٍ الْقَطَّانُ يحيى بن سعيد بن فروخ اللقب: الأحول، الحافظ الكنية: أبو سعيد النسب: القطان، التميمي، البصري، الأحول، الحافظ بلد الإقامة: البصرة علاقات الراوي: مولى بني تميم، ابنه محمد بن يحيى بن سعيد القطان، وحفيده أحمد بن محمد تاريخ الميلاد: 120 هـ تاريخ الوفاة: 198 هـ بلد الوفاة: البصرة طبقة رواة التقريب: التاسعة الرتبة عند ابن حجر: ثقة متقن حافظ، إمام قدوة الرتبة عند الذهبي قال أحمد: ما رأيت مثله. وقال بندار: حدثنا إمام أهل زمانه يحيى القطان، واختلفت إليه عشرين سنة فما أظن أنه عصى الله قط، ولد القطان 120، ومات 198 في صفر، وكان رأسا في العلم والعمل
Play Video
Play Video
01:04:38
Darsa: حق الأولاد على الوالدين 🔴 LIVE | DARSA Haki za Watoto Juu ya Wazazi (IV) Ust. Abu Raifah
Darsa ilifanyika Dhul Hijjah 07, 1447H Jumapili Mei 24, 2026 SEHEMU YA NNE Haki za Watoto Juu ya Wazazi Wawili حق الأولاد على الوالدين *Kuwa na pupa juu ya kumfunza walad na kumuadabisha الحرص على تعليم الولد وتأديبه *Kuwa na pupa -hamu- yakumfunza itikadi sahihi الحرص على تعليمه العقيدة السليمة *Kuwa na pupa ya kumfundisha Qur-aani utoto mwake الحرص على تعليمه القرآن في صغره * الحرص على تعليمه فرائض الدين، والحلال والحرام في صغره *Kuwa na pupa ya kumfunza FaradhI za Dini, Halali na Haramu utotoni mwake * تعويده على تعظيم شعائر الإسلام والدعوة إلى الله عزوجل Kumzoeza kuheshimu/kuadhimisha yale yenye kujulisha kuwepo kwa Uislamu na kulingania Uislamu (kufanya Da'wah) * Kuwa na hamu ya kumfundisha tabia njema na maadili mema الحرص على تعليمه الآداب والأخلاق الحميدة *Kutoa kwa ajili yake kulingana na mahitaji yake bila ubadhirifu au kujibana/ubahiliالإنفاق على الولد بما يحتاج من غير إسراف ولا تقتير *Kumhami kutokana na chochote kinachohatarisha maisha yake au kumdhuru, na kutomfanyia uadui.حمايته مما يهدد حياته ويؤذيه وعدم التعدي عليه * تحصينه بالرقية الشرعية من الشيطان والحساد والحشرات المؤذية Kumkinga kwa Ruq-ya za Kisharia kutoka kwa Shetani, na mahasidi, na wenye kuudhi, na wadudu hatari. * Kwenda nae sehemu za heri na kuchanganyika nae na watu wemaاصطحابه لأماكن الخير ومخالطته بالصالحين
Play Video
Play Video
01:12:02
Majilisi: عشر ذي الحجة 🔴LIVE DARSA شعائر الحج و العمرة ــ ماذا نتعلّم في حياتِنا اليومية؟ Ust Ahmad
Majilisi ilifanyika Dhul Hijjah 07, 1447H Jumapili Mei 24, 2026 ذو الحجة: شعائر الحج و العمرة ــ ماذا نتعلّم في حياتِنا اليومية؟ Dhul Hijjah: Ibada ya Hija na Umrah: Tunajifunza nini Katika maisha yetu ya kila Siku?
Play Video
Play Video
01:10:36
Darsa: صحيح البخاري 🔴 LIVE | DARSA (IX) رَاوِي الحَدِيثِ : مالك بن أنس Ust Abu Raifah
Darsa ilifanyika Dhul Hijjah 06, 1447H Jumamosi Mei 23, 2026 باب كَيْفَ كَانَ بَدْءُ الْوَحْىِ إِلَى رَسُولِ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم Mlango: Namna ya Wahyi Ulivyoanza kwa Rasuli wa Allah (صلى الله عليه وآله وسلم) HADITHI YA PILI حَدَّثَنَا عَبْدُ اللَّهِ بْنُ يُوسُفَ، قَالَ أَخْبَرَنَا مَالِكٌ، عَنْ هِشَامِ بْنِ عُرْوَةَ، عَنْ أَبِيهِ، عَنْ عَائِشَةَ أُمِّ الْمُؤْمِنِينَ ـ رضى الله عنها ـ أَنَّ الْحَارِثَ بْنَ هِشَامٍ ـ رضى الله عنه ـ سَأَلَ رَسُولَ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم فَقَالَ يَا رَسُولَ اللَّهِ كَيْفَ يَأْتِيكَ الْوَحْىُ فَقَالَ رَسُولُ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم " أَحْيَانًا يَأْتِينِي مِثْلَ صَلْصَلَةِ الْجَرَسِ ـ وَهُوَ أَشَدُّهُ عَلَىَّ ـ فَيُفْصَمُ عَنِّي وَقَدْ وَعَيْتُ عَنْهُ مَا قَال وَأَحْيَانًا يَتَمَثَّلُ لِيَ الْمَلَكُ رَجُلاً فَيُكَلِّمُنِي فَأَعِي مَا يَقُولُ ". قَالَتْ عَائِشَةُ رضى الله عنها وَلَقَدْ رَأَيْتُهُ يَنْزِلُ عَلَيْهِ الْوَحْىُ فِي الْيَوْمِ الشَّدِيدِ الْبَرْدِ، فَيَفْصِمُ عَنْهُ وَإِنَّ جَبِينَهُ لَيَتَفَصَّدُ عَرَقًا. Ametuhadithia Abdullahi bin Yusuf, amesema: ametupasha habari Malik kutokana na Hishami bin 'Urwah kutokana na baba ake, kutokana na Aishah Mama wa Waumini (رضي الله عنها) kwamba: Al-Harith bin Hisham (رضي الله عنه) alimuuliza Rasuli wa Allah (صلى الله عليه وآله وسلم) kwa kusema: 'Ewe Rasuli wa Allah! Vipi unakujia Wahyi?” Rasuli wa Allah (صلى الله عليه وآله وسلم) akamjibu kwa kusema: “Wakati mwengine unanijia kama sauti ya kengele, aina hii ya Wahyi ni shadidi -ngumu- zaidi kwangu kuliko zote na kisha hali hiyo hunipitia baada ya kuwa nimeshafahamu kile nilichofunuliwa; wakati mwingine Malaika huja katika umbile la rajuli, hunisemresha na kuyaelewa anayosema.” Aaishah (رضي الله عنها) amesema: 'Kwa hakika nilimwona (Rasuli wa Allah صلى الله عليه وآله وسلم) akiletewa Wahyi siku ya baridi kali na akaona jasho likimdondoka usoni (baada ya kumalizika Wahyi). Wapokezi wa Hadithi hii رُوَاةُ هَذَا الحَدِيثِ 1. Abdullahi bin Yusuf (Rahimahullahu) عَبْدُ اللَّهِ بْنُ يُوسُفَ 2. Malik bin Anas bin Malik (Rahimahullahu) مالك بن أنس بن مالك 3. Hishami bin 'Urwah (Rahimahullahu) هِشَامِ بْنِ عُرْوَةَ 4. 'Urwah bin Az Zubair (Rahimahullahu) عُرْوَةَ بنِ الزُّبَيْرِ بنِ العَوَّامِ 5. Aishah Ummul Muminina (Allah Awe Radhi Nae) عَائِشَةَ أُمِّ الْمُؤْمِنِينَ ـ رضى الله عنها Msimulizi wa Hadithi: Malik bin Anas bin Malik مالك بن أنس بن مالك : الاسم مالك بن أنس بن مالك (مالك بن أنس بن مالك بن أبي عامر بن عمرو بن الحارث بن غيمان بن خثيل بن عمرو بن الحارث) الكنية: أبو عبد الله النسب: الأصبحي، الحميري، المدني، التيمي، اليمني بلد الإقامة: المدينة علاقات الراوي: حليف عثمان بن عبيد الله القرشي، وكاتبه عيسى بن كنانة وأمه العالية بنت شريك بن عبد الرحمن بن شريك الأزدية، وأخوه النضر، وعمه أبو سهيل نافع بن مالك تاريخ الميلاد: 92 هـ، أو 93، أو 94 هـ، أو 95 هـ تاريخ الوفاة: 178 هـ، أو 179 هـ بلد الميلاد: ذي المروة بلد الوفاة: المدينة بلد الرحلة: مكة، مصر طبقة رواة التقريب: السابعة الرتبة عند ابن حجر: الفقيه، إمام دار الهجرة، رأس المتقنين، وكبير المتثبتين الرتبة عند الذهبي: الإمام
Play Video
Play Video
01:13:06
DARSA: مَوْسُوعَة عُلُومِ الحَدِيْثِ وفُنُونِه 🔴LIVE| DARSA: ljaza ya Mtoto إِجَازَةُ الطِّفْلِ
Darsa ilifanyika Dhul Hijjah 05, 1447H Ijumaa Mei 22, 2026 Kumpa ljaza Mtoto إِجَازَةُ الطِّفْلِ
Contact
bottom of page